Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wamuua muasi wa Seleka CAR

Wanajeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamemuua mwanamume mmoja anayetuhumiwa kuwa muasi wa Seleka huku ghasia zikikithiri nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

CAR troops lynch 'Seleka rebel'

Central African Republic soldiers lynch a man accused of being a rebel, eyewitnesses allege, in a shocking display of violence gripping the nation.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad waondoka CAR

Chad imeamua kuondoa wanajeshi wake kutoka katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati ikisema kuwa wanatuhumiwa kwa kuchochea hali nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Ufaransa wauawa CAR

Wanajeshi wawili wa Ufaransa wameuawa katika mapigano na waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi warejea kazini CAR

Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kutuma wanajeshi wa kulinda amani CAR

Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa limepiga kura kwa kauli moja kutuma kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Seleka are 'not a legitimate power'

HARDtalk speaks to Martin Ziguele, from the Movement for the Liberation of the Central African People.

 

11 years ago

BBCSwahili

Seleka yapinga waziri mkuu mteule.

Kundi la wapiganaji wa Seleka wamepinga kuteuliwa kwa Bwana Mahamat Kamounkama waziri mkuu wakisema si mshirika wao

 

11 years ago

BBCSwahili

Anti-Balaka,Seleka kusitisha mapigano?

Wanamgambo kutoka kundi la Anti- Balaka na Seleka wametia saini mpango wa kusitisha mapigano

 

10 years ago

BBCSwahili

Seleka wadai malipo kwa kumkamata Ongwen

Waasi wa kundi la Seleka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wanasema kuwa wanapaswa kutuzwa kwa kumkamata kamanda mkuu wa kundi la waasi la Uganda, LRA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani