Wanajeshi wamuua muasi wa Seleka CAR
Wanajeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamemuua mwanamume mmoja anayetuhumiwa kuwa muasi wa Seleka huku ghasia zikikithiri nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72781000/jpg/_72781652_72777607.jpg)
CAR troops lynch 'Seleka rebel'
Central African Republic soldiers lynch a man accused of being a rebel, eyewitnesses allege, in a shocking display of violence gripping the nation.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wanajeshi wa Chad waondoka CAR
Chad imeamua kuondoa wanajeshi wake kutoka katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati ikisema kuwa wanatuhumiwa kwa kuchochea hali nchini humo
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Wanajeshi 2 wa Ufaransa wauawa CAR
Wanajeshi wawili wa Ufaransa wameuawa katika mapigano na waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Wanajeshi waasi warejea kazini CAR
Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
UN kutuma wanajeshi wa kulinda amani CAR
Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa limepiga kura kwa kauli moja kutuma kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71829000/jpg/_71829372_ziguele.jpg)
VIDEO: Seleka are 'not a legitimate power'
HARDtalk speaks to Martin Ziguele, from the Movement for the Liberation of the Central African People.
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Seleka yapinga waziri mkuu mteule.
Kundi la wapiganaji wa Seleka wamepinga kuteuliwa kwa Bwana Mahamat Kamounkama waziri mkuu wakisema si mshirika wao
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Anti-Balaka,Seleka kusitisha mapigano?
Wanamgambo kutoka kundi la Anti- Balaka na Seleka wametia saini mpango wa kusitisha mapigano
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Seleka wadai malipo kwa kumkamata Ongwen
Waasi wa kundi la Seleka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wanasema kuwa wanapaswa kutuzwa kwa kumkamata kamanda mkuu wa kundi la waasi la Uganda, LRA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania