Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kitunguu swaumu; Kinga ya saratani, malaria

>Harufu yake siku za sikukuu, umuhimu wake kwenye chakula kipendwacho na wengi Tanzania yaani pilau, umekifanya kuwa kiungo muhimu cha chakula nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Malaria: Matumaini ya kupatikana kinga

Kundi la watoto nchini Tanzania wenye kinga asilia ya malaria wanawasaidia wanasayansi kutengeneza kinga mpya ya ugonjwa huo .

 

11 years ago

Habarileo

Wanasayansi waikumbusha serikali kinga dhidi ya malaria

WANASAYANSI nchini wameshauri serikali kuwekeza zaidi katika kinga kukabiliana na ugonjwa wa malaria nchini na sio kuwekeza fedha nyingi katika dawa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinga dhidi ya malaria hupunguza vifo kwa wajawazito

>Kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa malaria wakati wa ujauzito kunasaidia kupunguza hatari ya vifo kwa mama wajawazito na watoto wachanga wanaotarajiwa kuzaliwa, ripoti imebainisha.

 

11 years ago

GPL

UWEZO WA AJABU WA JUISI YA KITUNGUU-2

Wiki iliyopita tuliandika kuhusu juisi ya kitunguu, leo tunaendelea kufafanua faida zake hasa kwa nywele za binadamu. Jambo muhimu la kuzingatia wakati wa usiku ni muda wa kumaliza kula na kunywa juisi hiyo. Hakikisha unakunywa juisi yako angalau masaa mawili baada ya kula chakula chako cha mwisho jioni. Kama tatizo lako ni kubwa, kunywa juisi hii asubuhi na jioni hadi utakapoona tatizo la kutoka damu wakati wa kujisaidia...

 

11 years ago

GPL

UWEZO WA AJABU WA JUISI YA KITUNGUU

Kuna magonjwa mengine yakikupata hujui hata namna ya kujitibu. Lakini kwa kutumia vyakula na matunda unaweza ukashangaa namna ambavyo unaweza kuliondoa tatizo ambalo pengine ulidhani halina tiba. Katika makala haya ya leo, nakuletea uwezo wa ajabu unaopatikana kwenye juisi ya kitunguu maji (Onion) kama tiba. Kuna maradhi mengi yanayoweza kutibika kirahisi kabisa kwa kunywa juisi ya kitunguu, vilevile kuna maradhi mengi unaweza...

 

11 years ago

GPL

YAJUE MARADHI YANAYOWEZA KUTIBIKA KWA KITUNGUU TU - 2

Mpendwa msomaji, leo bado tunaendelea kudadavua faida za kitunguu na uwezo wake wa kutibu au kutoa nafuu kwa magonjwa makubwa na ya hatari. Katika kusheheneza umuhimu wa kitunguu, wataalamu wa tiba mbadala duniani wamegundua pia kitunguu kina safisha ubongo na kuongeza uwezo wa kufikiri. TIBA YA KIFUA NA PUMU
Jinsi ya kutumia kitunguu kama tiba ya kifua kikuu na pumu; Twanga kitunguu kikubwa kisha changanya na asali kikombe...

 

11 years ago

GPL

YAJUE MARADHI YANAYOWEZA KUTIBIKA KWA KITUNGUU TU - 3

LEO ni sehemu ya mwisho ya mfululizo wa makala za kitunguu na ningependa kumalizia kwa kusimulia kisa kimoja cha maajabu ya kitunguu kilichotokea zama za kale kwa mfalme kisha tumalizie na tiba. Zama za kale, Mfalme Herode wa Misri aliwaita wataalamu wote wa tiba nchini kwake na kuwauliza kulikoni yeye alale kitandani kwa maradhi na kushindwa kuufurahia ufalme wake ilihali wao wapo? Mkubwa wa wataalamu hao alimjibu kwa kifupi tu:...

 

10 years ago

Dewji Blog

Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One

novartis

-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria

-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia

-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001

Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili


exim1 Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim, Bi. Elizabeth Mayengoh, akikabidhi vitabu kwa mmoja wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenye wodi maalum ya watoto wanaougua ugonjwa wa saratani katika kuadhimisha siku ya saratani duniani. Wanaoshudia ni baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim na wazazi wa watoto hao. Benki hiyo ilikabidhi vifaa mbalimbali vikiwemo vyakula, vifaa vya kuchezea, sabuni, vifaa vya shule nk, lengo likiwa ni kujenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani