Wanasayansi waikumbusha serikali kinga dhidi ya malaria
WANASAYANSI nchini wameshauri serikali kuwekeza zaidi katika kinga kukabiliana na ugonjwa wa malaria nchini na sio kuwekeza fedha nyingi katika dawa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Kinga dhidi ya malaria hupunguza vifo kwa wajawazito
>Kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa malaria wakati wa ujauzito kunasaidia kupunguza hatari ya vifo kwa mama wajawazito na watoto wachanga wanaotarajiwa kuzaliwa, ripoti imebainisha.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s72-c/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
BENKI YA EXIM YAJIDHATITI KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA MALARIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s1600/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdpFTQha9Sc/VUCThiA9OtI/AAAAAAAHT9Y/UQeifz3WzKI/s1600/NET%2BPIX%2B2%2B-%2BMTWARA.jpg)
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Wanasayansi nchini Australia wanaonesha namna mfumo wa kinga unavyopambana na virusi
Kubaini wakati seli za kinga zinaingia zinaweza kusaidia "kutabiri mwenendo wa virusi", alisema Prof Bruce Thompson, Mkuu wa kitivo cha sayansi ya afya katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Swinburne.
11 years ago
BBCSwahili23 May
Malaria: Matumaini ya kupatikana kinga
Kundi la watoto nchini Tanzania wenye kinga asilia ya malaria wanawasaidia wanasayansi kutengeneza kinga mpya ya ugonjwa huo .
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Kitunguu swaumu; Kinga ya saratani, malaria
>Harufu yake siku za sikukuu, umuhimu wake kwenye chakula kipendwacho na wengi Tanzania yaani pilau, umekifanya kuwa kiungo muhimu cha chakula nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iMh59QeVKik/Xr0nnoXIuHI/AAAAAAALqLw/YaMsbdkLrTQ-025hMD3ayKkVihl5pfUIQCLcBGAsYHQ/s72-c/3130d90a-9278-4f43-a158-f48e35164bbf.jpg)
JESHI LA POLISI LAPOKEA VIFAA KINGA DHIDI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMh59QeVKik/Xr0nnoXIuHI/AAAAAAALqLw/YaMsbdkLrTQ-025hMD3ayKkVihl5pfUIQCLcBGAsYHQ/s640/3130d90a-9278-4f43-a158-f48e35164bbf.jpg)
Kamishna wa Polisi, Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP Shaban Hiki akipokea vifaa kinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona kutoka kwa Balozi wa kampeni ya Mikoni safi, Tanzania salama, Msanii Mrisho Mpoto (Mjomba), tukio lililofanyika katika makao makuu Jeshi la Polisi Ofisi ndogo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f27e13e3-2eb8-4a72-aeac-2df9b8d48966.jpg)
Timu ya uhamasishaji kutoka Wizara ya Afya na Wadau kutoka Shirika lisilo Lakiserikali la Project CLEAR wakimsikiliza Kamishna wa Polisi, Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fdzQZjWEbpo/XrEQKsnQzXI/AAAAAAALpLE/OpgHuenFokIc4AG8kFgxBD5Zk8Z075ATACLcBGAsYHQ/s72-c/ba32994a-d591-4fcf-9782-4f0505072d74.jpg)
MHOLA WAKABIDHI MSAADA WA VIFAA KINGA DHIDI YA CORONA
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Shirika la lisilokuwa la Kiserikali linalojihusisha na utoaji wa msaada wa kisheria pamoja na malezi na makuzi ya watoto Wilayani Muleba limetoa vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, ikiwa ni harakati na muendelezo wa mapambano dhidi ya Corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Muleba pamoja na viongozi wengine wa Wilaya hiyo Mkurugenzi wa Shirika hilo Bwana Saulo Marauli amesema kuwa vifaa hivyo ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s72-c/lhrc%2Bcorona.jpeg)
LHRC WACHANGIA VIFAA KINGA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s640/lhrc%2Bcorona.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akiwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume wakati wa makabidhiano ya vifaa kinga.
Katika kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuendelea kutoa elimu kwa umma juu ya namna ya kukabiliana na maambukizi.
Maambukizi ya virusi vya corona yanaathiri haki za msingi ikiwemo haki ya kuishi, haki ya kufanya kazi na kupata ujira, haki...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utafiti: Mtindi kinga dhidi ya kemikali hatari kwa wajawazito na watoto
Unaposikia au kuona maziwa ya mtindi, hisia zinazokufikia haraka ni zile za uchachu na ladha nzuri ya kinywaji hicho.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania