Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Massawe akemea wanaobagua wazee

MKUU wa Mkoa (RC) wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe amewataka wahudumu wa afya kuacha tabia ya kuwabagua wagonjwa wenye kadi za bima ya afya, hususani wazee wakati wanapofika vituoni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wazee wasusa kula siku 2 wakimlilia RC Massawe

Kanali mstaafu Fabian MassaweWAZEE wasiojiweza na watoto yatima walioko katika Kituo cha Kiilima kilichoko Bukoba Vijijini, wamesema walilazimika kususa kula kwa siku mbili mwezi uliopita baada ya kupata habari za kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe.

 

10 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

11 years ago

Michuzi

Origins of the name "Massawe"

Basically Massawe has no meaning, but represent the society of pastoralists, traditional healers, agriculturalists etc. There are different sources, some information explains that Massawe were the legal specialists to Mangi (Chief) and they were experts in environments, particularly on rainfalls.
 As opposed to other developed nations, Tanzania has more that 100 tribes, reflecting an average of the same number of Mother Languages throughout the nation. However, with the influence of Mwalimu...

 

9 years ago

TheCitizen

Widow: How Massawe ‘robbed’ us

The widow of a tanzanite trader who was shot dead in 2011 has told the High Court of how a well-known city businessman Alex Machare, alias Alex Massawe, used forged documents to take over and sell her family’s multi billions shillings property located in an upmarket estate in Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Massawe aipigania BUWASA

MKUU wa Mkoa wa Kagera (RC), Kanali mstaafu Fabian Massawe, amezicharukia taasisi, makampuni na watu binafsi wanaoshindwa kulipa bili za maji katika Mamlaka ya Majisafi na Majitaka ya Manispaa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamshtaki Massawe kwa JK

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Fabian Massawe, kikidai kuwa ndiye chanzo cha mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Massawe wafanyiwa upasuaji

HATIMAYE upasuaji wa mwili wa marehemu Elneema Massawe anayedaiwa kuuawa kutokana na kipigo cha polisi umefanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kama walivyotaka ndugu wa marehemu. Akizungumza na Tanzania Daima ...

 

9 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA

Mwanamitindo Flaviana Matata na Deogratius Massawe baada ya kufunga pingu za maisha jana. Massawe akimbusu mkewe. Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa katika pozi na mumewe Deogratius Massawe.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani