Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Massawe aipigania BUWASA

MKUU wa Mkoa wa Kagera (RC), Kanali mstaafu Fabian Massawe, amezicharukia taasisi, makampuni na watu binafsi wanaoshindwa kulipa bili za maji katika Mamlaka ya Majisafi na Majitaka ya Manispaa ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BUWASA YAENDELEZA UTEKELEZAJI WA KUMTUA MAMA NDOO KICHWANI

Na Abdullatif Yunus  Michuzi TVMAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bukoba - BUWASA wanaendelea kutekeleza kwa vitendo adhma ya Serikali ya Kumtua Mama ndoo kichwani, kwa kuendelea kusogeza huduma ya Maji safi karibu na Wananchi waishio Manispaa ya Bukoba, baada ya kuzindua Vilula viwili vya Maji katika mtaa wa Kisindi Kata Kashai.
Uzinduzi wa Vilula hivyo venye thamani ya shilingi Bilioni 2.4 ikiwa ni mwendelezo wa usambazaji wa mtandao wa Maji katika maeneo ya Kata Nne zilizosalia...

 

5 years ago

Michuzi

BUWASA WAJENGA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO TAHADHARI YA CORONA.

Pichani anaonekana Fundi Bomba kutoka BUWASA Ndg. Vicent Mashauri akimuelekeza mtoto namna ya kunawa Mikono katika zile hatua zinazoelekezwa na Mamlaka za Afya. Pichani ni Mkuu wa Wilaya za Bukoba Mhe. Deodatus Kinawiro akizindua kwa Vitendo Vizimba Vitatu vilivyojengwa na BUWASA lengo likiwa ni Wananchi na Jamii kwa ujumla waendelee kunawa mikono kama tahadhari ya Corona. Pichani. Ndoo zipatazo Thelathini zilizotolewa na BUWASA tayari kugawiwa katika maeneo mbalimbali hasa vituo vya...

 

5 years ago

Michuzi

BUWASA WAKABIDHI VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO HOSPTALI YA RUFAA BUKOBA.

Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA), Wameendelea kurudisha fadhila kwa wateja wao na jamii kwa ujumla kwa kujenga Vizimba Vingine viwili vya kunawia mikono, ikiwa ni tahadhari ya kujikinga gonjwa la corona,na hivyo kufanya Idadi ya vizimba hivyo kufikia vitano vilivyojengwa ndani ya Manispaa ya Bukoba.

Akisoma Taarifa ya utelekezaji wa miradi hiyo, Mkurugenzi wa BUWASA Ndg. John Sirati amesema kuwa Mamlaka katika kuhakikisha jamii...

 

11 years ago

Michuzi

Origins of the name "Massawe"

Basically Massawe has no meaning, but represent the society of pastoralists, traditional healers, agriculturalists etc. There are different sources, some information explains that Massawe were the legal specialists to Mangi (Chief) and they were experts in environments, particularly on rainfalls.
 As opposed to other developed nations, Tanzania has more that 100 tribes, reflecting an average of the same number of Mother Languages throughout the nation. However, with the influence of Mwalimu...

 

9 years ago

TheCitizen

Widow: How Massawe ‘robbed’ us

The widow of a tanzanite trader who was shot dead in 2011 has told the High Court of how a well-known city businessman Alex Machare, alias Alex Massawe, used forged documents to take over and sell her family’s multi billions shillings property located in an upmarket estate in Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamshtaki Massawe kwa JK

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Fabian Massawe, kikidai kuwa ndiye chanzo cha mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Massawe wafanyiwa upasuaji

HATIMAYE upasuaji wa mwili wa marehemu Elneema Massawe anayedaiwa kuuawa kutokana na kipigo cha polisi umefanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kama walivyotaka ndugu wa marehemu. Akizungumza na Tanzania Daima ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Massawe akemea wanaobagua wazee

MKUU wa Mkoa (RC) wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe amewataka wahudumu wa afya kuacha tabia ya kuwabagua wagonjwa wenye kadi za bima ya afya, hususani wazee wakati wanapofika vituoni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kanali Massawe aita wawekezaji Kagera

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema amani na usalama vilivyopo mkoani humo vinachochea uwekezaji wenye tija kwenye maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani