Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanali Massawe aita wawekezaji Kagera

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema amani na usalama vilivyopo mkoani humo vinachochea uwekezaji wenye tija kwenye maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa kagera Kanali Massawe aishukuru Vodacom kuikomboa Goziba

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amezungumzia jinsi ambavyo uboreshawaji wa huduma za mawasiliano zinavyochochea kubadili maisha ya watu kupitia kuboreka kwa shughuli za kiuchumi na kijamii huku akipongeza maamuzi ya kampuni ya Vodacom ya kupelekea mawasiliano kwenye kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Viktoria eneo la mkoa wa Kagera.  Kanali Masawe, ameyasema hayo wakati alipotembelea Makao Makuu ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom jijini Dar es salaam na kukutana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hali ya hewa Kagera yavuta wawekezaji

HALI ya hewa na mandhari ya Mkoa wa Kagera  imeelezwa  kuwa ni kivutio kwa wawekezaji katika sekta mbalimbali zikiwemo za kilimo, ufugaji na viwanda. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa juzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Nooij aita tisa Stars

>Baada ya kuishudia Taifa Stars ikicheza kiwango kibovu na kunyukwa 3-0 na Burundi Jumamosi kocha mpya wa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi itakayochezwa Mei 4, kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

 

10 years ago

Habarileo

Mkwassa aita 29 safari ya Uturuki

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa ameita kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili ya kambi ya Uturuki huku wachezaji tisa wakitoka Azam.

 

10 years ago

Michuzi

MKWASA AITA 26 TAIFA STARS

Kocha Mkwasa (kushoto) na msaidizi wake Hemed Morocco wakiongea na waandishi wa habari.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.

Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...

 

11 years ago

Michuzi

Origins of the name "Massawe"

Basically Massawe has no meaning, but represent the society of pastoralists, traditional healers, agriculturalists etc. There are different sources, some information explains that Massawe were the legal specialists to Mangi (Chief) and they were experts in environments, particularly on rainfalls.
 As opposed to other developed nations, Tanzania has more that 100 tribes, reflecting an average of the same number of Mother Languages throughout the nation. However, with the influence of Mwalimu...

 

9 years ago

Vijimambo

MKWASA AITA 28 STARS KUIVAA ALGERIA

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Charles Boniface Mkwasa jana ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakoingia kambini Jumapili jioni kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria Novemba 14 jijini Dar es salaam, na marudiano kufanyika Novemba 17 nchini Algeria.Akiongea na waandishi wa habari katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, Mkwasa amesema kikosi chake hicho kitaweka kambi nchini Omani kwa takribani siku 10 kujiandaa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli aita wanaotaka Jimbo la Kahama

Mbunge wa Kahama, James Lembeli juzi aliwafungulia milango wanasiasa wanaotaka kugombea ubunge katika jimbo lake akisema ni ruksa kwa mtu yeyote akitaka wafanye kampeni za maendeleo kwani ndicho kinachohitajika na wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Maalim Seif aita washindani CUF

 Maalim Seif Sharif HamadKATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani