Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli aita wanaotaka Jimbo la Kahama

Mbunge wa Kahama, James Lembeli juzi aliwafungulia milango wanasiasa wanaotaka kugombea ubunge katika jimbo lake akisema ni ruksa kwa mtu yeyote akitaka wafanye kampeni za maendeleo kwani ndicho kinachohitajika na wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mapokezi yamliza Lembeli Kahama

Mbunge wa Kahama, James Lembeli, ambaye hivi karibuni alitangaza kuihama CCM na kujiunga na Chadema, kwa mara ya kwanza amepokewa na umati mkubwa mjini Kahama hali iliyomfanya aangue kilio akiwa jukwaani.

 

11 years ago

Mwananchi

MALALAMIKO: Lembeli ataka madiwani wazembe Kahama wazomewe

>Mbunge wa Jimbo la Kahama, James Lembeli amewataka wananchi kuwazomea madiwani wazembe wasioleta maendeleo yaliyo ndani ya uwezo wao.

 

11 years ago

TheCitizen

CCM in Kahama faults cadre Lembeli on Union structure

The Chama Cha Mapinduzi (CCM) leadership in the district has criticised Kahama member of Parliament’s stance on the Union structure, saying that his statements to the media were his personal opinion, not Kahama residents’.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Kahama, James David Lembeli aondoka CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA‏

Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Michuzi

BREEKING NEWSSSSS:MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitangaza kuondoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Pamoja na kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia chama hicho. Lembeli akizungumza na wanahabari. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA


Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi...

 

10 years ago

Habarileo

Mkwassa aita 29 safari ya Uturuki

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa ameita kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili ya kambi ya Uturuki huku wachezaji tisa wakitoka Azam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani