mkuu wa mkoa wa kagera Kanali Massawe aishukuru Vodacom kuikomboa Goziba
![](http://3.bp.blogspot.com/-w-wpv8rBDU0/U0VUMar3utI/AAAAAAAFZeQ/5XarsWlpYOE/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amezungumzia jinsi ambavyo uboreshawaji wa huduma za mawasiliano zinavyochochea kubadili maisha ya watu kupitia kuboreka kwa shughuli za kiuchumi na kijamii huku akipongeza maamuzi ya kampuni ya Vodacom ya kupelekea mawasiliano kwenye kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Viktoria eneo la mkoa wa Kagera. Kanali Masawe, ameyasema hayo wakati alipotembelea Makao Makuu ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom jijini Dar es salaam na kukutana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Kanali Massawe aita wawekezaji Kagera
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema amani na usalama vilivyopo mkoani humo vinachochea uwekezaji wenye tija kwenye maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
RC aipongeza Vodacom kuikomboa Goziba
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, ameipongeza Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kwa kupeleka mawasiliano kwenye Kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Victoria, Mkoa wa Kagera....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DmuJcS3HXhk/VX5IGzsdJjI/AAAAAAAC6oQ/eTvH-CUJkGo/s72-c/70.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOA WA KAGERA,LEO KUVAMIA MKOA WA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DmuJcS3HXhk/VX5IGzsdJjI/AAAAAAAC6oQ/eTvH-CUJkGo/s640/70.jpg)
Katibu Mkuuu wa CCM Abdulrahman Kinana amehitimisha ziara yake hiyo ya kukagua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh36179LA*EqlB635VcS9XY8*DQ4PYeTzoJE1k07MXYUAsWqJqbLcw4VuZ-Xcigfds-COlU0ANhTU65Lp*eorUI/Voda1.jpg?width=650)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AIKABIDHI NGAO VODACOM TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WCLHD8AsVpE/VCA3o5Fq3wI/AAAAAAAGlGE/SbENPQLjU9U/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha aikabidhi ngao Vodacom Tanzania kwa kutambua mchango wake kuhakikisha usalama barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-WCLHD8AsVpE/VCA3o5Fq3wI/AAAAAAAGlGE/SbENPQLjU9U/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L8JOXxzWAv0/VCA3o2DS1WI/AAAAAAAGlF8/h6FRf18AnFI/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TMz0w96JaQE/default.jpg)
RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA
10 years ago
Dewji Blog03 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s72-c/unnamedL.jpg)
AMIRI JESHI MKUU RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA KYERWA LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s1600/unnamedL.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kN_WkDLMkWQ/VSjLDzv7VjI/AAAAAAAHQRA/KF8uDVqAS-s/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
MKOA WA KAGERA NA UTAMADUNI WA KUWAENZI VIONGOZI WAKUU WALIOUONGOZA MKOA HUO KWA NYAKATI TOFAUTI TANGU UHURU MWAKA 1961
![](http://4.bp.blogspot.com/-kN_WkDLMkWQ/VSjLDzv7VjI/AAAAAAAHQRA/KF8uDVqAS-s/s1600/unnamed%2B(42).jpg)