Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC aipongeza Vodacom kuikomboa Goziba

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, ameipongeza Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kwa kupeleka mawasiliano kwenye Kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Victoria, Mkoa wa Kagera....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa kagera Kanali Massawe aishukuru Vodacom kuikomboa Goziba

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amezungumzia jinsi ambavyo uboreshawaji wa huduma za mawasiliano zinavyochochea kubadili maisha ya watu kupitia kuboreka kwa shughuli za kiuchumi na kijamii huku akipongeza maamuzi ya kampuni ya Vodacom ya kupelekea mawasiliano kwenye kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Viktoria eneo la mkoa wa Kagera.  Kanali Masawe, ameyasema hayo wakati alipotembelea Makao Makuu ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom jijini Dar es salaam na kukutana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Kimbunga chaua wawili, 30 wajeruhiwa kisiwani Goziba

Watu wawili wamefariki dunia baada ya kimbunga kupiga katika Kisiwa cha Goziba na kusababisha baadhi ya mitumbwi kupinduka katika Ziwa Victoria.

 

11 years ago

Michuzi

M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza

Wateja wa huduma ya M-pesa wamehakikishiwa usalama wa fedha zao wakati ambapo huduma hiyo ikiwa imerejea kwa asilimia mia moja baada ya kukosekana kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tunakaribia kuikomboa Ramadi:Iraq

Iraq imesema inakaribia kuukomboa mji wa Ramadi dhidi ya wapiganaji wa IS waliokuwa wakishikilia mji huo tangu mwezi mei mwaka huu

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yataka kuikomboa Tikrit

Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit

 

10 years ago

Mwananchi

Je, walimu wetu wameandaliwa kuikomboa jamii?

“Walimu ni kundi pekee linaloweza kumjenga mtu kitabia, mawazo na mustakabali wa . Pia ndilo kundi linaloweza kulifanya taifa lolote liwe na uwezo mkubwa, kuwa zuri au mahali pazuri pa kuishi na penye maendeleo.”

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkutano Imarisha Elimu 2014 wadhamiria kuikomboa Tanzania

FEBRUARI 21 na 22 mwaka huu tukio la kihistoria lilifanyika mkoani Kilimanjaro, ambalo linatarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya elimu nchini. Huo ni Mkutano Imarisha Elimu 2014 uliofanyika ukiwashirikisha...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sarakikya aainisha mambo sita kuikomboa Arumeru Mashariki

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arumeru, Arusha, William Sarakikya (42), anayeomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Arumeru Mashariki, ameweka hadharani mambo sita ya msingi atakayoyasimamia na kuyatekeleza iwapo wananchi wa jimbo hilo watamchagua.

Sarakikya ni kati ya watia nia kupitia CCM waliojitokeza kuchukua fomu kuwania ubunge jimboni humo anyepewa nafasi kubwa ya kukabiliana na mgombea wa mungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani