Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, walimu wetu wameandaliwa kuikomboa jamii?

“Walimu ni kundi pekee linaloweza kumjenga mtu kitabia, mawazo na mustakabali wa . Pia ndilo kundi linaloweza kulifanya taifa lolote liwe na uwezo mkubwa, kuwa zuri au mahali pazuri pa kuishi na penye maendeleo.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tukiwakatisha tamaa walimu nani atafundisha watoto wetu?

Umuhimu wa mwalimu katika dunia hii uko wazi kwa kila jamii iliyostaarabika.Ulimwengu mzima unatambua mwalimu ni mtu muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yataka kuikomboa Tikrit

Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC aipongeza Vodacom kuikomboa Goziba

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, ameipongeza Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kwa kupeleka mawasiliano kwenye Kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Victoria, Mkoa wa Kagera....

 

9 years ago

BBCSwahili

Tunakaribia kuikomboa Ramadi:Iraq

Iraq imesema inakaribia kuukomboa mji wa Ramadi dhidi ya wapiganaji wa IS waliokuwa wakishikilia mji huo tangu mwezi mei mwaka huu

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sarakikya aainisha mambo sita kuikomboa Arumeru Mashariki

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arumeru, Arusha, William Sarakikya (42), anayeomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Arumeru Mashariki, ameweka hadharani mambo sita ya msingi atakayoyasimamia na kuyatekeleza iwapo wananchi wa jimbo hilo watamchagua.

Sarakikya ni kati ya watia nia kupitia CCM waliojitokeza kuchukua fomu kuwania ubunge jimboni humo anyepewa nafasi kubwa ya kukabiliana na mgombea wa mungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkutano Imarisha Elimu 2014 wadhamiria kuikomboa Tanzania

FEBRUARI 21 na 22 mwaka huu tukio la kihistoria lilifanyika mkoani Kilimanjaro, ambalo linatarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya elimu nchini. Huo ni Mkutano Imarisha Elimu 2014 uliofanyika ukiwashirikisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Kufukuzwa CCM kumenipa fursa nzuri ya kufanya siasa za kuikomboa Zanzibar

Jina la Mansoor Yussuf Himid limeendelea kupata umaarufu katika siasa kisiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa kagera Kanali Massawe aishukuru Vodacom kuikomboa Goziba

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amezungumzia jinsi ambavyo uboreshawaji wa huduma za mawasiliano zinavyochochea kubadili maisha ya watu kupitia kuboreka kwa shughuli za kiuchumi na kijamii huku akipongeza maamuzi ya kampuni ya Vodacom ya kupelekea mawasiliano kwenye kisiwa cha Goziba kilichopo Ziwa Viktoria eneo la mkoa wa Kagera.  Kanali Masawe, ameyasema hayo wakati alipotembelea Makao Makuu ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom jijini Dar es salaam na kukutana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani