Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tukiwakatisha tamaa walimu nani atafundisha watoto wetu?

Umuhimu wa mwalimu katika dunia hii uko wazi kwa kila jamii iliyostaarabika.Ulimwengu mzima unatambua mwalimu ni mtu muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Wasanii wetu na tamaa ya ubunge

NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.

Egbert Mtui

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani akemee wanaoibia umma kwa tamaa ya urais?

KADIRI siku zinavyozidi kuyoyoma kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu mwakani utakaoliingiza taifa kwenye awamu ya tano ya uongozi, ndivyo mambo mengi yanavyozidi kujitokeza huku wanaotajwa kutaka kuwania nafasi ya urais...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawaloga wabunge wetu?

KWA takriban wiki mbili sasa nipo mkoani Dodoma nikihudhuria vikao vya Bunge la Bajeti linaloendelea hivi sasa, kubwa zaidi linalonivutia ni majadiliano yanayoendelea baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani adui wa umoja wetu wa kitaifa?

HAKUNA taifa linaloweza kusimama bila ya kuwa na umoja wa kitaifa. Tanzania imesimama imara hadi leo hii kwa sababu ya umoja wa kitaifa uliojengwa na waasisi wa taifa letu. Tunasifiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, walimu wetu wameandaliwa kuikomboa jamii?

“Walimu ni kundi pekee linaloweza kumjenga mtu kitabia, mawazo na mustakabali wa . Pia ndilo kundi linaloweza kulifanya taifa lolote liwe na uwezo mkubwa, kuwa zuri au mahali pazuri pa kuishi na penye maendeleo.”

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Nani kawaroga vijana wetu wanaoshiriki siasa?

>Mazingira yamebadilika na hadhira ya kisiasa imechukua mwelekeo mpya kisiwani Zanzibar.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu — Nani umpigie kura?

The post Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu – Nani umpigie kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana.DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.Mmoja wa vijana wa kituo hicho akiigiza igizo kuonesha changamoto zinazowakabili watoto waishio katika mazingira hatarishi.Mkuu wa Kituo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani