Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA ZANZIBAR: Nani kawaroga vijana wetu wanaoshiriki siasa?

>Mazingira yamebadilika na hadhira ya kisiasa imechukua mwelekeo mpya kisiwani Zanzibar.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu — Nani umpigie kura?

The post Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu – Nani umpigie kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Ni nani atawatosa wasakatonge 2015?

>Ifikapo mwaka 2015 hamasa za kisiasa kwa upande wa Zanzibar zitakuwa katika kiwango cha juu huku ikitegemewa kutokea kwa mabadiliko ya uamuzi miongoni mwa wapigakura, hususan vijana ambao wengi wao wamezaliwa baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Wanawake na siasa zetu ni kisa cha tajiri na maskini?

>Tafiti nyingi zinaonyesha kwamba mchango wa wanawake katika mambo ya siasa ni mkubwa kuliko ule wa wanaume.

 

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALIYA JPM: Dk Abdallah Possi – Naibu Waziri, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu

Dk Abdallah Possi ni Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu), Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu wa Serikali ya Awamu ya Tano katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawaloga wabunge wetu?

KWA takriban wiki mbili sasa nipo mkoani Dodoma nikihudhuria vikao vya Bunge la Bajeti linaloendelea hivi sasa, kubwa zaidi linalonivutia ni majadiliano yanayoendelea baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani adui wa umoja wetu wa kitaifa?

HAKUNA taifa linaloweza kusimama bila ya kuwa na umoja wa kitaifa. Tanzania imesimama imara hadi leo hii kwa sababu ya umoja wa kitaifa uliojengwa na waasisi wa taifa letu. Tunasifiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

Viongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar Wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar Wakisubiri Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar

Viongozi wa Chama cha CCM wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri matokeo ya Kura za Wagombea Urais wa Zanzibar kutangwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha Salim Jecha, Ukumbi wa Salama ndio kituo Kikuu cha kutangazia Matokeo ya Kura za Urais wa Zanzibar. Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama wakisubiri kutaja kwa Matokeo ya Urais wa Zanzibar na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.Viongozi wa Chama cha CUF wakiwa katika ukumbi wa Salama...

 

11 years ago

Mwananchi

Tukiwakatisha tamaa walimu nani atafundisha watoto wetu?

Umuhimu wa mwalimu katika dunia hii uko wazi kwa kila jamii iliyostaarabika.Ulimwengu mzima unatambua mwalimu ni mtu muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli, Lowassa nani atatufaa kwa siasa za nje?

“Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. Walimuondoa madarakani rais Saddam, hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!”.Sikuamini masikio yangu kwamba haya ni maneno yaliyotoka kinywani mwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani