Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA ZANZIBAR: Ni nani atawatosa wasakatonge 2015?

>Ifikapo mwaka 2015 hamasa za kisiasa kwa upande wa Zanzibar zitakuwa katika kiwango cha juu huku ikitegemewa kutokea kwa mabadiliko ya uamuzi miongoni mwa wapigakura, hususan vijana ambao wengi wao wamezaliwa baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Nani kawaroga vijana wetu wanaoshiriki siasa?

>Mazingira yamebadilika na hadhira ya kisiasa imechukua mwelekeo mpya kisiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?

>Tumesikia matamshi ya mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CCM, Ally Mohammed Keissy alipochangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisema Zanzibar haichangii katika Muungano, hivyo haina haki ya kuhoji mambo ya upande wa pili.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhakiki wa Diwani ya Wasakatonge

Diwani ya Wasakatonge ni miongoni mwa diwani zilizochapishwa mwanzoni mwa karne ya ishirini na moja zikionesha changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii yetu. Mwandishi wake ni mtunzi mahiri Mohammed S Khatibu.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhakiki diwani ya Wasakatonge

Tunaendelea kuangalia dhamira mbalimbali zinazopatikana katika diwani hii ya mwandishi Seif Mohammed Khatib

 

10 years ago

BBCSwahili

Nani mwenyeji CAF 2015?

Hatma ya nani atakuwa mwenyeji wa kombe la mataifa ya Africa 2015 maarufu kama Africa Cup of Nations lazima ajulikane,

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu — Nani umpigie kura?

The post Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu – Nani umpigie kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Nani wa kuiwakilisha Ukawa urais 2015?

Ni takriban miezi minne sasa tangu vyama vinne vya upinzani nchini kupitia ushirikiano wao walioupa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kusaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote zijazo.

 

10 years ago

Vijimambo

Makongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?


Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.
Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani