MFUKO WA BIMA(NHIF) YA KIGOMA WAWAKUMBUKA WAZEE LEO KATIKA SIKU YAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s72-c/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa mfuko wa bima ya afya NHIF kigoma wakikabidhi msaada wa vyakula kwa uongozi wa kituo cha Silabu cha kulelea wazee wasiojiweza ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya wazee duniani.
Meneja wa Mfuko wa bima NHIF ya kigoma akisalimiana na wazee wanaotunzwa katika kambi ya Silabu kata ya kibirizi
Baadhi ya wazee wasiojiweza wanaoishi na kutunzwa katika kambi ya kulea wazee ya Silabu kata ya Kibirizi Mkoani hapa
Na Editha Karlo.KigomaMFUKO wa Bima ya afya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA KIGOMA WATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA (NHIF).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s72-c/1.jpg)
WANACHAMA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA WA NHIF KUTIBIWA KATIKA HOSPITALI YA JESHI LA JWTZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EonNdPiTH8U/VdLju_37qyI/AAAAAAAHx8w/fwGAE6cv_is/s640/02.jpg)
WANACHAMA kutibiwa katika hospitali za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZI0EssbtJsI/Vg1OlDxpo1I/AAAAAAAH8LU/Og131zR8ENc/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) WASANI MKATABA NA TFF LEO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF yaendelea kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wasio katika sekta rasmi
Meneja wa Bima ya Afya NHIF Wilaya ya Temeke, Bi Ellentruder Mbogoro (kushoto), akifafanua machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasimi Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani kufungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Februari 17,2015 lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana na mpango wa NHIF wa KIKOA unaotolewa Bima ya Afya waweze kujiunga na Mfuko huo ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya...
10 years ago
MichuziSIARA LEONE WAZURU NHIF KUJIFUNZA JINSI YA KUNDESHA MFUKO HUO KATIKA NCHI YAO
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!
10 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI TOKA VIKUNDI MBALIMBALI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
Wajasiriamali toka vikundi mbalimbali wamehamasishwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu wawapo katika shughuli zao za kawaida,leo katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam.
Katika Mpango mpya uliozinduliwa na Mfuko huo ujulikanao kama Mpango wa Kikoa(MATUAL PLAN),Wajasiriamali watakaojiunga na mfuko huo na kuwa wanachama watalipia shilingi 76,800 kwa mwaka ili kupata matibabu kupitia mfuko huo. ...