WAFANYABIASHARA KIGOMA WATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA (NHIF).
Mkuu wa Mkoa wa kigoma akiwaeleza wafanyabiashara(ambai hawapo pichani) wa Kigoma umuhimu wa kujiunga na mfuko wa bima ya afya(NHIF)
Ofisa matekelezo kutoka mfuko wa bima ya afya Kigoma Evance Ndyamkama akiongea na wafanyabiashara wa Kigoma jinsi ya kujiunga na mfuko huo
Makamu mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara Mkoa wa Kigima(TCCIA) Sethi Naftari akisona hotuba ya wafanyabiashara kwa Mgeni rasmi Issa Machibya na maofisa mfuko wa bima ya afya
Baadhi ya wafanyabiashara wa Mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
10 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI TOKA VIKUNDI MBALIMBALI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
Wajasiriamali toka vikundi mbalimbali wamehamasishwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu wawapo katika shughuli zao za kawaida,leo katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam.
Katika Mpango mpya uliozinduliwa na Mfuko huo ujulikanao kama Mpango wa Kikoa(MATUAL PLAN),Wajasiriamali watakaojiunga na mfuko huo na kuwa wanachama watalipia shilingi 76,800 kwa mwaka ili kupata matibabu kupitia mfuko huo. ...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Wakazi wilaya ya Kakonko watakiwa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF-Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-OqqTJhGoJO4/VVI9UPMg7XI/AAAAAAAAMmI/tlEmmOCZ5Co/s640/CHF%2BKKK.2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jZT_om5BzVw/VVI945lWibI/AAAAAAAAMmg/0jYxVTNN_Uw/s640/CHF%2BKKK.4.jpg)
9 years ago
MichuziWANAMICHEZO WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Zanzibar mbioni kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Pili kutoka Kulia akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania ukiongozwa na Bwana Ezekiel Olouchi aliyepo kati kati yao. Kushoto kwa Balozi Seif ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Kanda ya Zanzibar Nd. Ismail Kangeta, kulia ya Bwana Ezekiel Olouchi ni Mkurugenzi wa Wizara ya Afya aliyenyoa Nywele Dr. Moh’d Mohammed na Mkurugenzi wa ICT Nd. Ali Othman.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kuona haja kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s72-c/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
MFUKO WA BIMA(NHIF) YA KIGOMA WAWAKUMBUKA WAZEE LEO KATIKA SIKU YAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s640/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Haj7NnWPswU/Vg2Er7ojw9I/AAAAAAAH8QI/ivdV1b9UXOs/s640/AptOPO1IAXovjjGJz6hL5pqXr5F3fMXhlGRuFxJl4EOY.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9_vx_zwrAqo/Vg2E1fns-JI/AAAAAAAH8QY/H9wrMsWWD34/s640/As2iROn97xVUitLjTD392PJpbnn5_T6b_fVWE81X3Sws%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iU0PEOjLVuE/Vg2FFspufaI/AAAAAAAH8Qo/Bi7pawvXfjk/s640/AtaPwioQ3p4AGmUI6QOkCle5X6XYP6rmfBmSXmt_62or.jpg)
Na Editha Karlo.KigomaMFUKO wa Bima ya afya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s72-c/1.jpg)
WANACHAMA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA WA NHIF KUTIBIWA KATIKA HOSPITALI YA JESHI LA JWTZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EonNdPiTH8U/VdLju_37qyI/AAAAAAAHx8w/fwGAE6cv_is/s640/02.jpg)
WANACHAMA kutibiwa katika hospitali za...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!