SIARA LEONE WAZURU NHIF KUJIFUNZA JINSI YA KUNDESHA MFUKO HUO KATIKA NCHI YAO
Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akiwa Wajumbe nchi hiyo waliokuja kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ili kujifuza na kwenda kutekeleza katika nchi yao hafla hiyo imefanyika katika ofisi za Makao Makuu leo jijini Dar es Salaam.
Afisa wa uanachama wa NHIF,Twahiru Hauke akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Kazi Maalum wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Siera leone,Mohamed Godoe walipotembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j3FD7gyM7ZI/VFswQMPB3QI/AAAAAAAGvs8/4r8BWo28sBU/s72-c/23.jpg)
NHIF KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO KATIKA HALMASHAURI 54 NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-j3FD7gyM7ZI/VFswQMPB3QI/AAAAAAAGvs8/4r8BWo28sBU/s1600/23.jpg)
10 years ago
MichuziORIGINAL KOMEDI WAZURU PSPF, LENGO NI KUJIONEA UBORA WA HUDUMA ZA MFUKO HUO
![](http://4.bp.blogspot.com/-u_CgWME9ElM/VTOqFRb902I/AAAAAAAHR_g/W5SHjrHDapg/s1600/unnamed01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DQ2dPWSkshs/VTOqF5HRymI/AAAAAAAHR_o/q4-zJKPFXv8/s1600/unnamed02.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s72-c/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
MFUKO WA BIMA(NHIF) YA KIGOMA WAWAKUMBUKA WAZEE LEO KATIKA SIKU YAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s640/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Haj7NnWPswU/Vg2Er7ojw9I/AAAAAAAH8QI/ivdV1b9UXOs/s640/AptOPO1IAXovjjGJz6hL5pqXr5F3fMXhlGRuFxJl4EOY.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9_vx_zwrAqo/Vg2E1fns-JI/AAAAAAAH8QY/H9wrMsWWD34/s640/As2iROn97xVUitLjTD392PJpbnn5_T6b_fVWE81X3Sws%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iU0PEOjLVuE/Vg2FFspufaI/AAAAAAAH8Qo/Bi7pawvXfjk/s640/AtaPwioQ3p4AGmUI6QOkCle5X6XYP6rmfBmSXmt_62or.jpg)
Na Editha Karlo.KigomaMFUKO wa Bima ya afya...
10 years ago
VijimamboWizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.
10 years ago
MichuziWANACHAMA WA NHIF MKOANI KIGOMA WAUOMBA MFUKO HUO KUGHARAMIA KIPIMO CHA VINA SABA (DNA)
Wanachama hao waliyasema hayo katika kijiji cha Mwamgongo wakati wa kikao cha pamoja baina ya wanachama hao na uongozi wa mfuko wa Bima ya afya(NHIF) Mkoa wa Kigoma.
Nassib Ally mtumishi wa afya katika kituo cha mwamgongo alisema kuwa pamoja na kwamba malipo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s72-c/saini.jpg)
PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...