WANACHAMA WA NHIF MKOANI KIGOMA WAUOMBA MFUKO HUO KUGHARAMIA KIPIMO CHA VINA SABA (DNA)
BAADHI ya wanachama wa mfuko wa Bima ya afya (NHIF) wameutaka mfuko huo kugharamia kipimo cha vina saba (DNA) kwa wananchama wake pamoja na gharama za nauli na posho kwa wanachama wanaokwenda kupata matibabu nje ya vituo vyao vya kazi.
Wanachama hao waliyasema hayo katika kijiji cha Mwamgongo wakati wa kikao cha pamoja baina ya wanachama hao na uongozi wa mfuko wa Bima ya afya(NHIF) Mkoa wa Kigoma.
Nassib Ally mtumishi wa afya katika kituo cha mwamgongo alisema kuwa pamoja na kwamba malipo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s72-c/saini.jpg)
PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s72-c/umbrella.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED WAZINDUA MPANGO WA KUWAKOPESHA VIWANJA WANACHAMA WA MFUKO HUO
![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s640/umbrella.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j3FD7gyM7ZI/VFswQMPB3QI/AAAAAAAGvs8/4r8BWo28sBU/s72-c/23.jpg)
NHIF KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO KATIKA HALMASHAURI 54 NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-j3FD7gyM7ZI/VFswQMPB3QI/AAAAAAAGvs8/4r8BWo28sBU/s1600/23.jpg)
10 years ago
MichuziSIARA LEONE WAZURU NHIF KUJIFUNZA JINSI YA KUNDESHA MFUKO HUO KATIKA NCHI YAO
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
PSPF, TPB na Property International Limited wazindua mpango wa kuwakopesha viwanja wanachama wa mfuko huo
![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s640/umbrella.jpg)
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia Suluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane kulia), wakiwa wamekamata mwamvuli ikiwa ni ishara ya umoja, kwenye...
9 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA KIGOMA WATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA (NHIF).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s72-c/1.jpg)
WANACHAMA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA WA NHIF KUTIBIWA KATIKA HOSPITALI YA JESHI LA JWTZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EonNdPiTH8U/VdLju_37qyI/AAAAAAAHx8w/fwGAE6cv_is/s640/02.jpg)
WANACHAMA kutibiwa katika hospitali za...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s72-c/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
MFUKO WA BIMA(NHIF) YA KIGOMA WAWAKUMBUKA WAZEE LEO KATIKA SIKU YAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s640/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Haj7NnWPswU/Vg2Er7ojw9I/AAAAAAAH8QI/ivdV1b9UXOs/s640/AptOPO1IAXovjjGJz6hL5pqXr5F3fMXhlGRuFxJl4EOY.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9_vx_zwrAqo/Vg2E1fns-JI/AAAAAAAH8QY/H9wrMsWWD34/s640/As2iROn97xVUitLjTD392PJpbnn5_T6b_fVWE81X3Sws%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iU0PEOjLVuE/Vg2FFspufaI/AAAAAAAH8Qo/Bi7pawvXfjk/s640/AtaPwioQ3p4AGmUI6QOkCle5X6XYP6rmfBmSXmt_62or.jpg)
Na Editha Karlo.KigomaMFUKO wa Bima ya afya...