WILAYA YA BABATI YAADHIMISHA SIKU YA SERIKALI ZA MITAA
Ofisa habari wa Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara, Grace Msovela na baadhi ya viongozi wengine wa halmashauri ya mji huo wakikagua vyeti kabla ya kuvikabidhi kwa washindi wa mabanda ya idara mbalimbali za mji huo kwenye hitimisho la wiki ya Serikali za Mitaa ambapo kauli mbiu yake ni Katiba mpya izingatie kuwa Serikali za Mitaa ni msingi wa maendeleo endelevu:Mwananchi shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara, Andrew...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YANYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za serikali za mitaa (LAAC) wakiwa katika eneo ilipojengwa shule ya sekondari Singland kukagua ujenzi wa vyumba vya...
11 years ago
MichuziTAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
11 years ago
MichuziFARM AFRICA YAKABIDHI PIKIPIKI 10 KWA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA BABATI NA MBULU MKOANI MANYARA
Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano. Maafisa Misitu wa wilaya za Babati na Mbulu wakiwa na pikipiki walizokabidhiwa. Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14...
10 years ago
MichuziSIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI
Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
11 years ago
Habarileo21 Jul
Iringa yaadhimisha Siku ya Mkwawa
KWA mara ya kwanza Mkoa wa Iringa umeadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Chifu wa Wahehe, Mtwa Mkwawa tangu afariki kwa kujiua mwenyewe miaka 116 iliyopita.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dunia yaadhimisha Siku ya Mandela
KATIKA kutambua na kukumbuka mchango wa aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela, dunia imeadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza tangu kifo chake. Katika...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Tanzania yaadhimisha siku ya saratani
11 years ago
MichuziSIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA