Iringa yaadhimisha Siku ya Mkwawa
KWA mara ya kwanza Mkoa wa Iringa umeadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Chifu wa Wahehe, Mtwa Mkwawa tangu afariki kwa kujiua mwenyewe miaka 116 iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKSX-TpniUi4eEUKE0RNM7RF3job6RDbJAUijr3jW0s3YHrxHcEWcIKh0svIp9AZ2TIMr6Cio8xPrT38Ex*ijIm/335.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA, MKOANI IRINGA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ooHhr5L6kk4/VOIEG_PIUzI/AAAAAAADZqk/AONBQ8_AeJU/s72-c/mk4.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ooHhr5L6kk4/VOIEG_PIUzI/AAAAAAADZqk/AONBQ8_AeJU/s1600/mk4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EVKCGRw27q4/VOIEH06xSFI/AAAAAAADZq8/niImwk9q9tg/s1600/mk5.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Feb
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA CHIFU MKWAWA,MKOANI IRINGA
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/335.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Chifu mpya wa Wahehe, Chifu Adam Abdu Mkwawa, Mtwa Adam wa Pili (14), wakati wa mazishi ya baba yake aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam Mkwawa leo katika eneo la Nyumba ya Makumbusho ya Chifu Mkwawa, Kijiji cha Karenga Februari 16, 2015.
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/526.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/621.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mjane wa aliyekuwa Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam Mkwawa leo Kijiji cha Karenga Februari 16, 2015.
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/812.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka...
11 years ago
CloudsFM16 Jul
PINDA KUWAONGOZA WANA IRINGA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA CHIFU MKWAWA.
WAZIRI Mkuu Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Chifu Mkwawa yatakayofanyika katika kijiji cha Kalenga, Iringa Vijijini Julai 19, mwaka huu.
Siku moja kabla ya kilele cha maadhimisho hayo (Julai 18), kutakuwepo na kongamano la wazi litakalofanyika katika Chuo Kikuu cha Mkwawa litakalo jadili mada mbalimbali zitakazolenga kumkumbuka Chifu Mkwawa na utalii.
Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na kamati yake ya utalii ya mkoa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
PINDA AWASILI IRINGA, AKUTANA NA CHIFU WA WAHEHE ADAM ABDU SAPI MKWAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-KpLwQoJOc/VYW6HWEpsYI/AAAAAAAHh28/VDVglWAT9cE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJpIAa2vzxA/VYW6G5DI6cI/AAAAAAAHh24/0eMwSVx2CQ4/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
GPLKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA - APEWA HESHIMA YA UCHIFU WA WAHEHE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s640/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrK53gink_g/VXWPKmW9r1I/AAAAAAAC5yk/a1aiLZ-uZqs/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dunia yaadhimisha Siku ya Mandela
KATIKA kutambua na kukumbuka mchango wa aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela, dunia imeadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza tangu kifo chake. Katika...