Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu nchini waondolewa hofu

JAMII ya Kiislamu nchini imetolewa hofu ya upatikanaji wa mikopo kutokana na kuanzishiwa benki pamoja na vicoba vitakavyowawezesha kupata fursa hiyo bila kikwazo cha riba. Akizungumza katika kongamano la masheikh...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji Loliondo waondolewa hofu

SERIKALI imewatoa hofu jamii ya wafugaji wa kimasai waishio Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro juu kuwepo kwa taarifa za kuwaondoa katika eneo wanaloishi na kuligawa kwa mwekezaji kutoka Falme za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kigamboni waondolewa hofu

WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...

 

10 years ago

Bongo5

Wateja wa Mall mpya ya Nairobi waondolewa kwa hofu ya shambulio la kigaidi

Wateja waliokuwa ndani ya mall mpya na kubwa iliyopo jijini Nairobi Kenya waliondolewa jana baada ya mtu aliyehisiwa kuwa na bomu la kutengeneza kuonwa na walinzi. Polisi walidai kuwa watu watatu walikamatwa kufuatia tukio hilo kwenye Garden City Mall iliyojengwa kwa dola milioni 250. Mall za Kenya zimekuwa kwenye ulinzi wa hali ya juu tangu […]

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. MAALIM SEIF AMEWATAKA WAISLAMU NCHINI KUACHANA NA TABIA YA KUGOMBANIA MISIKITI

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifungua pazia kuashiria ufunguza rasmi wa MASJID AQSAA katika kijiji cha Kiboja Mkwajuni, Wilaya ya Kati Unguja.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia waumini wa dini ya Kiislamu waliohudhuria ufunguza wa MASJID AQSAA katika kijiji cha Kiboja Mkwajuni, Wilaya ya Kati Unguja.  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, viongozi wa dini ya kiislamu nchini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini

Jana Ijumaa ya Octoba 16,2015 Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza liliungana na Waislamu wengine kuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu ambao ni 1437.  Kwa kalenda ya Kiislamu sherehe hizo zilifanyika jana tarehe mbili, mwezi Muharamu mwaka wa 1437 (02.01.1437) ikiwa maadhimisho yanayoambatana na kumbukumbu ya Kuhama kwa Mtume Muhammad kutoka Mji wa Macca kwenda Madina. [MWANZA] Katika kuadhimisha sherehe hizo, Baraza hilo kupitia kwa Katibu wake Mkoani Mwanza Sheikh Mohamed Balla (Kulia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waislamu nchini Sri Lanka wamelaumu kushinikizwa kuwachoma moto waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona

Waislamu walio wachache nchini Sri Lanka wamelaumu mamlaka kuwashinikiza kuwachoma moto waislamu waliopoteza maisha kwa janga la corona. Kwa mujibu wa dini ya kiislamu jambo hilo haliruhusiwi.

 

10 years ago

Mtanzania

Hofu ya Ebola yatanda nchini

20150810_182328NA EDITHA KARLO, KIGOMA

RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.

Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI AWATOA HOFU WAWEKEZAJI NCHINI



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akioneshwa na kupewa maelezo kuhusu mtambo wa kuzalisha mvinyo kutoka kwa Mhandisi wa Kemikali na Mchakato tija wa kiwanda hicho, Daniel Mollel wakati wa ziara yake katika kiwanda cha kuzalisha mvinyo cha DOMIYA.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani