Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA

Stori:Waandishi wetu/Ijumaa
Inadaiwa kuwa kimenuka kati ya msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’ na baba mwenye nyumba wake, Hussein Kassim baada ya mdada huyo kudaiwa kugoma kutoa vyombo vyake kwenye mgahawa aliopangishwa na mkataba kuisha. Msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’. Ray C aliyekuwa akitoa huduma ya chakula na vinywaji kwa wafanyakazi wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kupitia mgahawa wake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Happy: Kahaba ‘aliyeua’ baba mwenye nyumba na kuathiri mtoto

>“Hakuna mtu anayependa kuwa kahaba (kujiuza) ila inatokana na sababu maalumu zinazomkabili mhusika,” anasema Happy katika mahojiano na gazeti hili jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

MH. NYALANDU AKIWA NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE



Mh. Nyalandu akiwa na mke wake ni mambo ya Valentine's Day hayo Vijimambo inakupongeza Mh. Kwa Upendo wako kwa familia yako.

 

10 years ago

Vijimambo

ABDULMAN OMAR DENDEGO NG'ARI NG'ARI NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE

 Abdulman Omar na mama mwenye nyumba wake wameremeta kiroho safi siku ya harusi yaho Bwana harusi akiachia tabasamu kiroho safi pembeni ya mama mwenye nyumba wake.
 Bwana harusi na bibi harusi katikati wakiwa na wapambe wao wakisoma dua

 

10 years ago

Bongo Movies

RAY: Bora Kujipanga Mwenye Kwenye Harusi Yako

Muigizaji na muongozaji wa filamu Vicent Kigosi  “Ray” akiongea kwenye kipindi cha Television cha  Boys Boys kinachorushwa na kituo cha TV1. Alionekana kupinga swala watu wenye pesa zao lakini bado wanasumbua watu kwa michango ya harusi hivyo akashauri ni bora mtu kabla ya kuoa ajipange na sio kusumbua watuna kadi za michango.

 “Sio mtu unawapa watu mizigo isiyo ya kwao,” alisema. “Kama una uwezo fanya mwenyewe, kwa sababu katika maisha tunaambiwa kuna vitu vitatu, kuzaliwa, harusi na...

 

10 years ago

Vijimambo

NASAHA ZA BABA MWENYE BUSARA

1. Mwanangu, mwanamke anawezakuwa mkeo, mwingine anaweza kuwamama wa watoto wako, lakini ukipatamwanamke ambae atakuwa kamamama kwako, mama kwa wanao namama kwa familia, tafadhali mwananguusimuache huyo!2. Mwanangu, usimfanye mwanamkewako kuwa ndio wa kupika na kufanyakazi zote za jikoni peke yake, tabia hiyosio nzuri Kwani hata nyakati zetu,mashamba yetu yalijulikana kwa majinayetu wanaume lakini tulifanya kazipamoja!3. Mwanangu, nikikwambia wewe nikichwa cha familia, simaanishi kutunakwa...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

Chris Brown ni baba wa mtoto mwenye miezi 9!

Chris Brown ni baba. Kwa mujibu wa TMZ, muimbaji huyo wa R&B ana mtoto wa kike mwenye umri wa miezi tisa. Mama wa mtoto huyo ni model wa zamani mwenye miaka 31 aitwaye Nia, ambaye amemfahamu Chris kwa miaka mingi. Nia na Chris wanadaiwa kuwa na maelewano lakini hawana uhusiano. TMZ imedai kuwa Breezy anafurahia […]

 

10 years ago

GPL

RAY C AAPA KUMSAIDIA DAZ BABA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Chanzo chetu cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani