RAY: Bora Kujipanga Mwenye Kwenye Harusi Yako
Muigizaji na muongozaji wa filamu Vicent Kigosi “Ray” akiongea kwenye kipindi cha Television cha Boys Boys kinachorushwa na kituo cha TV1. Alionekana kupinga swala watu wenye pesa zao lakini bado wanasumbua watu kwa michango ya harusi hivyo akashauri ni bora mtu kabla ya kuoa ajipange na sio kusumbua watuna kadi za michango.
“Sio mtu unawapa watu mizigo isiyo ya kwao,” alisema. “Kama una uwezo fanya mwenyewe, kwa sababu katika maisha tunaambiwa kuna vitu vitatu, kuzaliwa, harusi na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 May
Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!
Burger bomba kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi, zenye ufahari kutoka MeTL Group.
Kampuni ya MeTL Group imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL1qJ1YjdSj4A3PnFifR98L4hHJdzbqOv2p0hCa2uITma*8eSGoZyda5e6AmoXAwoTTIeqkfd--T1p9tI5VnNDfW/johari.jpg?width=650)
JOHARI: HARUSI YA RAY NITAKUWA MWANDAAJI CHAKULA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p9dsrWA1xuA/VdANT-zi-pI/AAAAAAABT8s/r_2TgJ6yAxQ/s72-c/900c9143ce5daac9784ba6835dca5519.jpg)
MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KUANDAA HARUSI YAKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-p9dsrWA1xuA/VdANT-zi-pI/AAAAAAABT8s/r_2TgJ6yAxQ/s640/900c9143ce5daac9784ba6835dca5519.jpg)
Kwa ufupi kunakuwa hakuna ubora wa harusi au mwenendo mzima unakuwa hauko vizuri.
Kuna familia ambazo wanajitahidi kupanga vizuri na kufanya sherehe...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFn*2M4PbPCnBrgLsNuHmZVq3lri5iOkqAxDI6qJpODlZxOhmQvduaSLNKo785MPspvpEti1NMiaFfhOd7WWFHrw/julianadidone3.jpg)
SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*ayvxdq1jlaIDGEN2M1s6fM1cbzXd5T9mAmBu3fOcerabpic3hQ7T*rSTwRVpK9ZD4chlaNM81uIbu9WAcVK2-/BACKIJUMAA.jpg)
RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9EBNRU09fff6ngFMzjjsbDURB0PQT0jJLC5dAD6GRfuMxNlweTdvfhE5ocqsxiDaKyzWUT2KvHOfg3gTeHRi6cJ/Love.jpg?width=650)
WEWE NDIYE MWENYE MPINI WA NDOA YAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518NVxl0zq1I*tkEWVLDLPdqXXPyNDIW0uY57kyRdO65oVnHKeZFfyNqkttMYpMZC0aIXzVpghCKfAd07mR4Q4v5/MAMAWEMA.jpg)
RAY CHUNGA SANA HIYO BASTOLA YAKO BROO!
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Ray kuhusu yeye kuikimbia Team Mabadiliko?
Huku vuguvuga la uchaguzi likiendelea, leo mwigizaji maarufu nchini Vicenti Kigosi aliyekuwa anaongoza mapambano ya mabadiliko ndani ya UKAWA kabla ya kuhamia CCM ameandika ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake..
“..Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wafuata mkumbo mpende kupanua akili zenu na si kupenda kupanua vidole 2.
Nashangazwa sana na wapinzani kusimama mbele ya adhara na kusema kuwa tangia tumepata uhuru miaka 50 iliyopita serikali haijafanya chochote na wewe unashangalia tena...