MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KUANDAA HARUSI YAKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-p9dsrWA1xuA/VdANT-zi-pI/AAAAAAABT8s/r_2TgJ6yAxQ/s72-c/900c9143ce5daac9784ba6835dca5519.jpg)
Usishangae kuona makala hii kuhusu harusi. Naandika kutokana na uzoefu wa kuwa kwenye kamati nyingi za maandalizi ya harusi. Unapokuwa kwenye kamati hizo kuna vitu vingi ambavyo vimekuwa vikijitokeza na vijana wengi hatuvijui au kutotilia maanani na mwisho wa siku sherehe inakwisha na mambo ni kama ya sherehe nyingine ya ndugu yako au rafiki yako.
Kwa ufupi kunakuwa hakuna ubora wa harusi au mwenendo mzima unakuwa hauko vizuri.
Kuna familia ambazo wanajitahidi kupanga vizuri na kufanya sherehe...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Unajua mambo ya kuzingatia wakati unapoweka malengo katika maisha?
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
RAY: Bora Kujipanga Mwenye Kwenye Harusi Yako
Muigizaji na muongozaji wa filamu Vicent Kigosi “Ray” akiongea kwenye kipindi cha Television cha Boys Boys kinachorushwa na kituo cha TV1. Alionekana kupinga swala watu wenye pesa zao lakini bado wanasumbua watu kwa michango ya harusi hivyo akashauri ni bora mtu kabla ya kuoa ajipange na sio kusumbua watuna kadi za michango.
“Sio mtu unawapa watu mizigo isiyo ya kwao,” alisema. “Kama una uwezo fanya mwenyewe, kwa sababu katika maisha tunaambiwa kuna vitu vitatu, kuzaliwa, harusi na...
10 years ago
MichuziZINGATIENI WELEDI WAKATI WA KUANDAA MAANDIKO YA MIRADI - MWANRI
Wapanga mipango nchini wameaswa kuzingatia weledi wakati wa kuandaa maandiko ya miradi yanayowasilishwa kwa wafadhili ili kuongeza ushindani dhidi ya nchi nyingine wakati wa uwasilishaji wa maombi ya kupatiwa ufadhili wa miradi ya maendeleo.
Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati alipofanya mazungumzo na viongozi waandamizi kutoka wizara za viwanda na biashara, fedha, uchukuzi, nishati na madini pamoja na...
10 years ago
MichuziMWANRI: ZINGATIENI WELEDI WAKATI WA KUANDAA MAANDIKO YA MIRADI
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mambo ya kuzingatia kabla ya kukopa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Iq-JyZAS-7o/XlO1HAOl1uI/AAAAAAALfC4/uXKzR0YAxbsglmEosJBw8HmtWsSS-w2EwCLcBGAsYHQ/s72-c/244.jpg)
BALOZI SEIF AWATAKA WATUMISHI KUZINGATIA UTII WAKATI WA KAZI
Alisema Utii ndio dhana nzito, sahihi na inayobeba ngao kubwa kwa Mtumishi ye yote na matokeo yake hujikuta akipata fursa nyingi zinazomuwezesha kuheshimika sambamba na kupanda daraja katika maeneo yake ya Kazi.
Balozi Seif Ali...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2SMBA-TmbCMAiYG6VLJzQge1RjpGxw0-0hKRyDBLGl9KQTyVokqA0EHwMd6FXKgUH-ZPuRfUyTVR3X-tUBhVqM8/pregnantwoman.jpg?width=650)
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUWA MJAMZITO
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Mambo ya kuzingatia katika mkataba wa ajira