Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chris Brown ni baba wa mtoto mwenye miezi 9!

Chris Brown ni baba. Kwa mujibu wa TMZ, muimbaji huyo wa R&B ana mtoto wa kike mwenye umri wa miezi tisa. Mama wa mtoto huyo ni model wa zamani mwenye miaka 31 aitwaye Nia, ambaye amemfahamu Chris kwa miaka mingi. Nia na Chris wanadaiwa kuwa na maelewano lakini hawana uhusiano. TMZ imedai kuwa Breezy anafurahia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN RUKSA KUMUONA MTOTO!

Staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’. New York,Marekani
STAA wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ sasa anachekelea ‘jino la mwisho’ baada ya kukubali kutoa mkwanja wa matumizi ya mtoto wake, Royalty. Chris Brown akiwa na mwanaye, Royalty.
Chris aliamua kukubaliana na mama mtoto wake, Nia Guzman kwa kumtumia kadi ya bethidei sambamba na ‘cheki’ ya dola 5,000...

 

10 years ago

Mtanzania

Chris Brown agombea mtoto na raia wa Brazil

chris-brown-daughter-royalty-father-700x438BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Chris Brown, ameonekana kuendelea kumgombea mtoto anayedaiwa kuwa na mgogoro wa baba sahihi kati yake na raia wa Brazil, King Ba.
Baada ya hali hiyo, Chris Brown ameonekana akifanya juhudi za kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto huyo ili atambulike kuwa ndiye baba mzazi na juhudi hizo zinafanywa na mwanasheria wake.
Juhudi hizo alizianza baada ya kusherehekea miaka 26 ya kuzaliwa kwake akiwa na mastaa mbalimbali akiwemo bondia,...

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN AANDAA SHEREHE YA SIKU YA BABA DUNIANI, BINTIYE NDIYE MGENI RASMI

Chris Brown akiwa na binti yake Royalty Brown. MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani ambapo mgeni rasmi atakuwa binti yake Royalty Brown mwenye umri wa mwaka mmoja. Chris amewaalika marafiki zake wenye watoto kujumuika naye katika sherehe hiyo inayofanyika leo huko Marekani. Siku ya Baba Duniani katika nchi nyingi huadhimishwa Jumapili...

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown kuita album yake ijayo jina la mtoto wake ‘ROYALTY’

Chris Brown (26) anajivunia kuwa baba ndio sababu amekuwa hafichi hizia zake juu ya mtoto wake wa mwaka mmoja. Kuonesha kiasi gani anampenda mtoto huyo wa kike, weekend iliyopita Breezy ametangaza jina la album yake itakayofata kuwa itaitwa jina la binti yake “Royalty”. Kwa maneno mafupi kupitia Twitter Breezy aliandika: MY NEW ALBUM WILL BE […]

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown alitaka mtoto kwa miaka mingi lakini Karrueche alimtosa!

Chris Brown alikuwa akitamani kuwa baba kwa miaka mingi na alijaribu kumshawishi mpenzi wake Karrueche Tran ili amzalie mtoto lakini alimpa sharti hadi amuoe kwanza. Vyanzo vilivyo karibu na mastaa hao vimeiambia TMZ kuwa Chris na Karrueche wamekuwa wakizungumza kuhusu mtoto kwa miaka miwili sasa na mrembo huyo alikuwa tayari kumzalia kama angetimiza matakwa yake. […]

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown na mzazi mwenzie waweka tofauti pembeni kumlea pamoja mtoto wao Royalty

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza tofauti zao ili kushirikiana pamoja kumlea mtoto wao, Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Vyanzo vilivyo karibu na Chris na Nia vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wawili hao hivi karibuni walikubaliana kumlea mtoto wao kwa amani. Wameamua kumpeleka pamoja kwenye mazoezi ya kuogelea, shuleni na michezo mbalimbali. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani