NASAHA ZA BABA MWENYE BUSARA
1. Mwanangu, mwanamke anawezakuwa mkeo, mwingine anaweza kuwamama wa watoto wako, lakini ukipatamwanamke ambae atakuwa kamamama kwako, mama kwa wanao namama kwa familia, tafadhali mwananguusimuache huyo!2. Mwanangu, usimfanye mwanamkewako kuwa ndio wa kupika na kufanyakazi zote za jikoni peke yake, tabia hiyosio nzuri Kwani hata nyakati zetu,mashamba yetu yalijulikana kwa majinayetu wanaume lakini tulifanya kazipamoja!3. Mwanangu, nikikwambia wewe nikichwa cha familia, simaanishi kutunakwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*ayvxdq1jlaIDGEN2M1s6fM1cbzXd5T9mAmBu3fOcerabpic3hQ7T*rSTwRVpK9ZD4chlaNM81uIbu9WAcVK2-/BACKIJUMAA.jpg)
RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA
10 years ago
Bongo504 Mar
Chris Brown ni baba wa mtoto mwenye miezi 9!
9 years ago
Bongo524 Sep
Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Happy: Kahaba ‘aliyeua’ baba mwenye nyumba na kuathiri mtoto
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Untitled9.jpg)
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Nasaha za Riyama
Msanii nyota wa kike wa filamu , Riyama Ally ametaka wasanii wachanga kutoridhika na mafanikio madogo wanayoyapata pindi wanapofanikiwa ‘kutoka’ katika fani hiyo.
Akizungumza na NIPASHE, Riyama alisema wasanii wanatakiwa kutoridhika tu na pato la uigizaji, bali pia wajikite katika kutafuta uwezekano wa kuwa pia watayarishaji wa filamu. Riyama alikuwa akizungumza juu ya fialamu yake mpya ya ‘Sharo Doma’.
Chanzo:Nipashe
11 years ago
Habarileo16 Dec
Kikwete awakumbusha mbali, awapa nasaha
RAIS Jakaya Kikwete, Mama Maria Nyerere na Vicky Nsilo Swai, jana walikuwa miongoni mwa wanafamilia wachache duniani, walioalikwa kuhudhuria maziko ya kifamilia ya mpiganaji vita dhidi ya ubaguzi wa rangi, Nelson Mandela.