Drake ashangaza mashabiki, anunuliwa pete
LOS ANGELES, MAREKANI
MASHABIKI wa muziki nchini Marekani, wameshangaa kitendo cha msanii wa hip hop, Nayvadius Wilburn ‘Future’, kumnunulia msanii mwenzake, Aubrey Graham ‘Drake’ pete ya dhahabu.
Mashabiki wengi wamedai kuwa ni bora angemnunulia saa, cheni na vitu vingine kuliko kumnunulia pete, kwa kuwa inatafsiri vibaya kwa mwanaume.
Wawili hao wa sasa wanafanya kazi za muziki pamoja, hivyo Future amesema kuwa amefanya hivyo kwa kuwa kuna wimbo wao unaitwa ‘Big Rings’ ambao upo kwenye...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
RAY AANIKA SABABU YA KUTOOA, ASHANGAZA!
10 years ago
Michuzi
Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Pete ya ndoa na umuhimu wake
KARIBU katika Safu ya Urafiki na Mahusiano. Ni matumaini yangu umzima wa afya na nawashukuru kwa maoni yenu. Jumamosi ya leo, tutazungumzia suala zima la kuvaa pete, lakini si kwa...
10 years ago
GPL
PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER
10 years ago
GPLPETE YA SHILOLE YAIBUA MAZITO!
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Michuano ya mpira wa pete ni Namibia.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Linah na Recho pete na kidole
11 years ago
GPL
THEA: NDOA SIYO PETE
10 years ago
GPL
TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20