Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY AANIKA SABABU YA KUTOOA, ASHANGAZA!

Brighton Masalu
Msanii wa ‘long time’ kwenye anga la filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda. Msanii wa ‘long time’ kwenye anga la filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hii ndiyo Sababu ya Ray Kutooa Hadi Sasa

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda.

Akizungumza na gazeti la  Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.

Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo asiingie kwenye maisha ya ndoa.

“Unajua hili suala la ndoa ni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa:Sheria ya kutooa kutafutiwa sababu

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis anaamini sheria inayowazuia makasisi katika kanisa hilo kuoa huenda ikaondolewa.

 

9 years ago

Bongo Movies

Chuchu Hans Aanika Siri ya Kumkoleza Ray

NINA imani mu-wazima wa afya wasomaji wetu, kama kawa kwenye kolamu hii tumekuwa tukiwaleta mastaa tofautitofauti na kufunguka mambo mbalimbali yahusuyo maisha yao kwenye sanaa na nje ya fani.

Leo tunaye staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans ambaye ni mwandani wa msanii mkongwe kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Vincent Kigosi `Ray’ aliyeweza kufunguka mambo mbalimbali kutokana na maswali aliyoulizwa na wasomaji wetu katika kolamu hii wiki iliyopita na kuyatolea ufafanuzi bila hiyana.

Msomaji:...

 

11 years ago

GPL

RAY C AANIKA VIGEZO VYA MUMEWE MTARAJIWA

Na Gladness Mallya
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameibuka na kusema kuwa anahitaji mume anayemzidi umri kwa miaka kumi. Akizungumza hivi karibuni kwenye kituo kimoja maarufu cha runinga, Ray C alisema anahitaji mwanaume mtu mzima anayemzidi miaka kumi, anayejitambua na asiwe mwanamuziki kwani anaamini akiwa na mtu kama huyo uhusiano wao utakuwa mzuri kuliko ule wa awali uliokuwa wa...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AANIKA SABABU ZA KUTOKUZAA

Na Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mpaka sasa hajazaa kwa sababu bado alikuwa hajamuona mwanaume wa kuwa baba watoto wake. Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ Akichonga na gazeti hili, Amanda alisema katika maisha yake anapenda sana mtoto lakini bado hajatokea mwanaume sahihi wa kuzaa naye ila anashukuru kwa sasa amempata. “Miaka...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!

Stori: Na Nyemo Chilongani
Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kisha kuangukia kwenye ‘utamu’ wa penzi la mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameamua kuanika siri tano za kilichomvutia kwa staa huyo gumzo Afrika Mashariki. Nasibu...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AANIKA SABABU ZA KUJITOLEA MSIBA WA AISHA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema anakumbuka fadhila za marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ ndiyo maana amejitoa kwa hali na mali katika msiba wake kwani anawaonea huruma watoto wake ambao aliishi nao kama kaka yao enzi za marehemu alipokuwa na uhusiano na mdau wa Muziki wa Dansi Bongo, Fikiri Madinda. Staa wa filamu za Kibongo, Steven...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI, ACHAMBUA UBOVU WA WEMA, PENNY NA JOKATE

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady.Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kisha kuangukia kwenye ‘utamu’ wa penzi la mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameamua kuanika siri tano za kilichomvutia kwa staa huyo gumzo Afrika Mashariki.Akizungumza katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Usihukumu Chaguo Langu Kabla Haujaelewa Sababu Zangu-Ray

Picha hapo juu ni staa mkongwe wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans amebnaye pia ni staa wa Bongo Movies.

Ray alibandika picha hii kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram na kuadika “don't judge my choice before understanding my reasons”.

Mafuliko ya LIKES na COMMENTS kwenye picha hii ndio yamenifanya niileta hapa ili nawe mdau usafishe macho.

Mbali na ujumbe mzito aliondikwa kwenye picha hii, wawili hawa kiukweli wametokelezeaaaa.Neno moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani