Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Usihukumu Chaguo Langu Kabla Haujaelewa Sababu Zangu-Ray

Picha hapo juu ni staa mkongwe wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans amebnaye pia ni staa wa Bongo Movies.

Ray alibandika picha hii kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram na kuadika “don't judge my choice before understanding my reasons”.

Mafuliko ya LIKES na COMMENTS kwenye picha hii ndio yamenifanya niileta hapa ili nawe mdau usafishe macho.

Mbali na ujumbe mzito aliondikwa kwenye picha hii, wawili hawa kiukweli wametokelezeaaaa.Neno moja...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Mrwanda chaguo langu’

Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amemrudisha kundini mshambuliaji Danny Mrwanda akieleza kuwa ndiye alikuwa chaguo lake.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Khalid Chokoraa Ft. T.I.D — Chaguo Langu

Wimbo mpya kutoka kwa Member wa Band ya Mapacha Watatu Khalid Chokoraa akimshirikisha TID wimbo unaitwa “Chaguo Langu” Studio Big Time Production Producer Said Comorien

 

10 years ago

GPL

CHUCHU: RAY AMEWAKIMBIZA MARAFIKI ZANGU

Imelda Mtema
Nyota wa filamu Bongo, Chuchu Hans ameibuka na kusema rafiki yake wa kiume, Vincet Kigosi ‘Ray’ amewakimbiza marafiki zake wote kwani tangu waanze uhusiano wao, hawapo karibu naye kwa vile awali walikuwa michepuko yake. Nyota wa filamu Bongo, Vincet Kigosi ‘Ray’ akiwa na mpenz wake Chuchu Hans. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko hivi karibuni,  Chuchu alisema baada ya mashostito hao...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ninazo sababu zangu binafsi ,Ni kwa nini nataka ccm kakae bench ?

The post Ninazo sababu zangu binafsi ,Ni kwa nini nataka ccm kakae bench ? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

RAY AANIKA SABABU YA KUTOOA, ASHANGAZA!

Brighton Masalu
Msanii wa ‘long time’ kwenye anga la filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda. Msanii wa ‘long time’ kwenye anga la filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za kuenea Kiswahili kabla na wakati wa ukoloni

Ukuaji na ueneaji ni maneno mawili yenye maana zinazokaribiana lakini zinazotofautiana. Ukuaji humaanisha ongezeko la msamiati katika lugha na ueneaji ni uongezekaji wa matumizi ya lugha kieneo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii ndiyo Sababu ya Ray Kutooa Hadi Sasa

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda.

Akizungumza na gazeti la  Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.

Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo asiingie kwenye maisha ya ndoa.

“Unajua hili suala la ndoa ni...

 

10 years ago

Vijimambo

RAY KIGOSI ATOA SABABU INAYOMFANYA ASHINDWE KUOA HADI SASA


Staa mkongwe wa filamu za Bongo, Vincent “Ray” Kigosi ametoa sababu ya kuendelea kuwa single licha ya kuwa anaendelea kuongeza idadi ya birthday alizosheherekea toka kuzaliwa kwake.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani