Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Khalid Chokoraa Ft. T.I.D — Chaguo Langu

Wimbo mpya kutoka kwa Member wa Band ya Mapacha Watatu Khalid Chokoraa akimshirikisha TID wimbo unaitwa “Chaguo Langu” Studio Big Time Production Producer Said Comorien

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8

Bondia Khalid Chokoraa (kushoto), ambaye pia ni mwanamuziki wa bendi ya  Mapacha watatu  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Rashidi Juma wakati wa mazoezi katika kambi yake iliyoko  Mwananyamala jijini Dar es salaam akijiandaa kupambana na  Said Memba katika mpambano wao utakaofanyika Agosti Nane wakati wa siku ya tamasha la matumaini Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.Bondia Khalid Chokoraa akipiga begi wakati wa maandalizi ya kujiandaa na mchezo wake Bondia Khalid Chokoraa ...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mrwanda chaguo langu’

Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amemrudisha kundini mshambuliaji Danny Mrwanda akieleza kuwa ndiye alikuwa chaguo lake.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Usihukumu Chaguo Langu Kabla Haujaelewa Sababu Zangu-Ray

Picha hapo juu ni staa mkongwe wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans amebnaye pia ni staa wa Bongo Movies.

Ray alibandika picha hii kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram na kuadika “don't judge my choice before understanding my reasons”.

Mafuliko ya LIKES na COMMENTS kwenye picha hii ndio yamenifanya niileta hapa ili nawe mdau usafishe macho.

Mbali na ujumbe mzito aliondikwa kwenye picha hii, wawili hawa kiukweli wametokelezeaaaa.Neno moja...

 

11 years ago

Michuzi

CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24

Mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya Mapacha watatu Kahalid chokoraa anategemea kupanda ulingoni jumamosi ya tarehe 24 katika ukumbi wa friends corner kuzipiga na bondia chipukizi mwenye uchu wa ushindi muda wote awpo ulingoni Abdul manyenza. 
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miguu ya ‘chokoraa’ ilivyogeuka dhahabu

PAMOJA na kuitwa jina lenye ukakasi kulitamka kwamba ni timu ya Watoto wa Mitaani ama ‘Chokoraa’, leo hii vijana hao kutokea Jiji la Mwanza, ndio mabingwa wa dunia. Ni ubingwa...

 

9 years ago

BBC

Khalid Boutaib eyes Morocco call-up

Gazelec Ajaccio striker Khalid Boutaib hopes his performances in the French top-flight will earn him a first call-up for Morocco.

 

11 years ago

Tanzania Daima

KHALID KASSIM MOHAMED: Mwanafunzi bora Zanzibar anayelilia uprofesa

“MATARAJIO yangu ni kuendelea na elimu ya juu ili nifikie ndoto zangu za kuisaidia familia na nchi yangu.” Hiyo ni kauli ya Khalid Kassim Mohamed (15), mwanafunzi bora kwa kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hili ndilo chaguo la Mungu!

MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani