New Music: Khalid Chokoraa Ft. T.I.D — Chaguo Langu
Wimbo mpya kutoka kwa Member wa Band ya Mapacha Watatu Khalid Chokoraa akimshirikisha TID wimbo unaitwa “Chaguo Langu” Studio Big Time Production Producer Said Comorien
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi06 Aug
BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8
10 years ago
Mwananchi04 Dec
‘Mrwanda chaguo langu’
10 years ago
Bongo Movies25 May
Picha: Usihukumu Chaguo Langu Kabla Haujaelewa Sababu Zangu-Ray
Picha hapo juu ni staa mkongwe wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans amebnaye pia ni staa wa Bongo Movies.
Ray alibandika picha hii kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram na kuadika “don't judge my choice before understanding my reasons”.
Mafuliko ya LIKES na COMMENTS kwenye picha hii ndio yamenifanya niileta hapa ili nawe mdau usafishe macho.
Mbali na ujumbe mzito aliondikwa kwenye picha hii, wawili hawa kiukweli wametokelezeaaaa.Neno moja...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s1600/unnamed+(4).jpg)
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Miguu ya ‘chokoraa’ ilivyogeuka dhahabu
PAMOJA na kuitwa jina lenye ukakasi kulitamka kwamba ni timu ya Watoto wa Mitaani ama ‘Chokoraa’, leo hii vijana hao kutokea Jiji la Mwanza, ndio mabingwa wa dunia. Ni ubingwa...
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/5C27/production/_86819532_gettyimages-496144276.jpg)
Khalid Boutaib eyes Morocco call-up
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
KHALID KASSIM MOHAMED: Mwanafunzi bora Zanzibar anayelilia uprofesa
“MATARAJIO yangu ni kuendelea na elimu ya juu ili nifikie ndoto zangu za kuisaidia familia na nchi yangu.” Hiyo ni kauli ya Khalid Kassim Mohamed (15), mwanafunzi bora kwa kufanya...
11 years ago
Michuzi20 Jul
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Hili ndilo chaguo la Mungu!
MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...