Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mimi ni hair designer, sio kinyozi - masoud khalid Bitebo

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Nkwabi:Mimi sio Jambazi

Staa wa Bongo Movies, Nkwabi Juma amefunguka na kusema kuwa yeye si Jambazi bali ni uhusika tu ambao umfanya acheze kama mtu mtata na jambazi liliokubuhu kutokana tu na watayarishaji kumchagua katika nafasi kama hizo lakini hajui hata kuiba kuku na amekuwa akimudu nafasi hizo kwa kufanya utafiti tu.

“Msanii mzuri ni lazima huwe mbunifu na kuchagua character yako ambayo kila mtengeneza sinema akiandika muswada (script ) anakuona wewe ndio utakayoitendea haki na si mtu mwingine ndio kitu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Monalisa: Mimi Sio Gubegube

Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa  Bongo, Yvonne Cherly ‘Monalisa’ (33) amesema kuwa yeye siyo gubegube kwani alishawahi kukaa ndani ya ndoa lakini sasa ameamua kutulia.

Akipiga stori mbili-tatu na  Gazeti la Uwazi, Monalisa alisema kuwa hata kama akiamua kurudi upya kwenye ndoa anaweza na kutilia msisitizo kuwa mwanaume atayemuoa lazima atambue kuwa anayemuoa ni Yvonne Cherly na si Monalisa kwani jina hilo litakalokuwepo kwenye cheti cha ndoa.

“Mimi si gubegube, nikiamua kurudi na kufunga...

 

10 years ago

Bongo Movies

WOLPER: Mimi Sio Simba ni Yanga

Mara baada ya timu ya Simba kuibuka mtani JEMBE, baada ya hiileo kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu ya  Yanga, muigizaji  wakike maarufu, Jackline Wolper aliweka picha hii matandaoni na alipoulizwa kuwa yeye ni mnyama au, wolper alisema.

"Hayo Mavazi tuu mimi ni Yanga yanga yanga ..Yanga woyeeeee ..okey byee sema leo nilipenic sana".

Sasa jiulize maneno haya niyakweli au?!! Au yeye ni Yanga Ukawa….Hehehe. Hongereni Simba na poleni washabiki wa Yanga

 

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mrema: Mimi sio kibaraka wa CCM


NA RODRICK MAKUNDI, MOSHI
MWENYEKITI wa Taifa wa TLP,  Augustine Lyatonga Mrema, amesema kamwe hana mpango wa kuunga mkono Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kusisitiza msimamo wake wa kutaka serikali mbili.
Mbali ya msimamo huo, Mrema amesema yeye sio kibaraka wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama baadhi ya watu wanavyodai na kuwa: ìMimi nashangaa wakati wanasema mimi ni kibaraka wa CCM, tunaona wenyewe wameungana na CUF, sasa kweli kama sio wanatafuta maslahi binafsi hapa nini...

 

11 years ago

Michuzi

club rahaleo show ndani ya mtandao kupitia TBC 1 chini ya manju wa muziki nchini Masoud Masoud mariam wa migomba

Kwa video hii na zingine kibao nenda youtube  kisha search 'Club Rahaleo show'

 

10 years ago

Vijimambo

AWARD WINNING FASHION DESIGNER LINDA BEZUIDENHOUT IS THE DESIGNER OF YEAR (2014) FOR VIVA INTERNATIONALE MAGAZINE

Below are the photos of the magazine photo shoot with Photographer ANDREW WALKERClick soma zaidi for more photos


 

11 years ago

Michuzi

AWARD WINNING DESIGNER EXTRAORDINAIRE Linda Bezuidenhout official designer of the Ms. Georgia Plus America 2014, Miss TANESHA SMART PAGEANT

Tanzanian Atlanta-based Designer Linda Bezuidenhout ( LB ) will design a formal gown for Ms. Tanesha, that will be worn at the Nationals Finals of the Miss Plus America 2014 which will be held in Georgia at the Westin Hotel & Resort ( last year they were in Louisiana and the best dress winner was a Linda Bezuidenhout dress, worn by Mrs Alabama Octavia Mcclandon). This year the nationals of MISS AMERICA PLUS PAGEANTS will be held in Atlanta  Georgia starting  July 1st to 5th.
Linda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Unajivunia Kinyozi wako?

Maonyesho ya vinyozi kadhaa vilivyo katika mataifa kadhaa Afrika yanaendelea mjini London. Nini hukuvutia katika kinyozi chako?

 

10 years ago

Mwananchi

Babu; kinyozi anayemiliki magari 75

Mfanyabiashara Leonard Willoughby aliwahi kusema; ‘siku utakayoanza kuishi kwa kuifuata mipango yako unayopanga, kila kitu katika maisha yako kitabadilika kabisa.’ Inawezekana watu wengi wanaufahamu msemo huo, lakini Ramesh Babu anajitapa kuyatendea kazi maneno hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani