Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Babu; kinyozi anayemiliki magari 75

Mfanyabiashara Leonard Willoughby aliwahi kusema; ‘siku utakayoanza kuishi kwa kuifuata mipango yako unayopanga, kila kitu katika maisha yako kitabadilika kabisa.’ Inawezekana watu wengi wanaufahamu msemo huo, lakini Ramesh Babu anajitapa kuyatendea kazi maneno hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Unajivunia Kinyozi wako?

Maonyesho ya vinyozi kadhaa vilivyo katika mataifa kadhaa Afrika yanaendelea mjini London. Nini hukuvutia katika kinyozi chako?

 

9 years ago

Vijimambo

Polisi wamsaka 'Daudi Balali' anayemiliki ukurasa wa twitter

Jeshi la Polisi nchini linafanya uchunguzi kumbaini mmiliki wa ukurasa wa twitter unaoendeshwa na anayejiita Daudi Balali, aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.
Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, aliyasema hayo wakati akizungumza na Nipashe ofisini kwake jana.

Bulimba alisema kuwa taarifa za uwapo wa ukurasa huo wa twitter, wamekwishazipata na wanafanya uchunguzi wa kina kumkamata mhusika kisha...

 

9 years ago

Mtanzania

Mfanyabiashara kijana anayemiliki viwanda kwa kuuza korosho

MTZ UCHUMI MPYA SAFI.inddMTZ UCHUMI MPYA SAFI.inddNA HAMISA MAGANGA

VIJANA wengi wamekuwa wakikimbia kilimo vijijini wakidhani kuwa hakina faida yoyote.

Hawafahamu kuwa siku zote mwanzo ni mgumu kwani hata waliofanikiwa awali walikuwa maskini na hawakuwahi kufikiria kama watakuja kuwa matajiri wakubwa duniani.

Kilimo na biashara ni miongoni mwa vitu vilivyochangia utajiri wa watu wengi ndani na nje ya nchi. Hata siku moja huwezi kumiliki mabilioni ya fedha kwa kutegemea kuajiriwa.

Katika makala haya kutana na mfanyabiashara wa kwanza wa...

 

9 years ago

Mwananchi

AMBWENE YESSAYA :Msanii anayemiliki kipindi cha Mkasi

Tasnia ya sanaa hususan muziki ni kazi kama ilivyo kwa fani nyingine na endapo walioamua kuichagua watakuwa na bidii, inaweza kuwainulia kipato na kujikuta katika maisha bora.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinyozi anayeota kuwa kama Bakhresa

Mafanikio: Kupitia kazi hii ambayo nimeianza miaka kadhaa iliyopita ninaweza kuendesha familia yangu yenye mtoto mmoja na kukidhi mahitaji yote pamoja na ya ndugu zangu.

 

9 years ago

Global Publishers

Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!

Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.

Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili walikuweko wale vinyozi ambao shughuli zao walizifanyia chini ya mti, na wengine ndiyo walikuwa wanakuwa na chumba ambacho nje utakuta kibao kimeandikwa kinyozi.

Kwa kinyozi ndiko kulikokuwa sehemu ya kupata habari mbalimbali za nini kinaendelea katika jamii....

 

11 years ago

Tanzania Daima

KASSIM MOHAMED: Kinyozi anayepambana na saluni za kisasa

KUTOKANA na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mambo mengi yamebadilika. Mojawapo ya mambo hayo ni kujiweka nadhifu, iwe kwa mwanamke au mwanamume kwa kutumia vipodozi vya kisasa. Zamani wanawake walikuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani