Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrema: Mimi sio kibaraka wa CCM


NA RODRICK MAKUNDI, MOSHI
MWENYEKITI wa Taifa wa TLP,  Augustine Lyatonga Mrema, amesema kamwe hana mpango wa kuunga mkono Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kusisitiza msimamo wake wa kutaka serikali mbili.
Mbali ya msimamo huo, Mrema amesema yeye sio kibaraka wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama baadhi ya watu wanavyodai na kuwa: ìMimi nashangaa wakati wanasema mimi ni kibaraka wa CCM, tunaona wenyewe wameungana na CUF, sasa kweli kama sio wanatafuta maslahi binafsi hapa nini...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Zitto awatolea uvivu wanaomwita kibaraka wa CCM

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kama angekuwa ni msaliti na kibaraka wa Chama cha Mapinduzi (CCM), asingeweza kuongoza mapambano ya kuwang’oa mawaziri 13 kwa miaka mitatu katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Bongo Movies

Monalisa: Mimi Sio Gubegube

Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa  Bongo, Yvonne Cherly ‘Monalisa’ (33) amesema kuwa yeye siyo gubegube kwani alishawahi kukaa ndani ya ndoa lakini sasa ameamua kutulia.

Akipiga stori mbili-tatu na  Gazeti la Uwazi, Monalisa alisema kuwa hata kama akiamua kurudi upya kwenye ndoa anaweza na kutilia msisitizo kuwa mwanaume atayemuoa lazima atambue kuwa anayemuoa ni Yvonne Cherly na si Monalisa kwani jina hilo litakalokuwepo kwenye cheti cha ndoa.

“Mimi si gubegube, nikiamua kurudi na kufunga...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nkwabi:Mimi sio Jambazi

Staa wa Bongo Movies, Nkwabi Juma amefunguka na kusema kuwa yeye si Jambazi bali ni uhusika tu ambao umfanya acheze kama mtu mtata na jambazi liliokubuhu kutokana tu na watayarishaji kumchagua katika nafasi kama hizo lakini hajui hata kuiba kuku na amekuwa akimudu nafasi hizo kwa kufanya utafiti tu.

“Msanii mzuri ni lazima huwe mbunifu na kuchagua character yako ambayo kila mtengeneza sinema akiandika muswada (script ) anakuona wewe ndio utakayoitendea haki na si mtu mwingine ndio kitu...

 

10 years ago

Bongo Movies

WOLPER: Mimi Sio Simba ni Yanga

Mara baada ya timu ya Simba kuibuka mtani JEMBE, baada ya hiileo kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu ya  Yanga, muigizaji  wakike maarufu, Jackline Wolper aliweka picha hii matandaoni na alipoulizwa kuwa yeye ni mnyama au, wolper alisema.

"Hayo Mavazi tuu mimi ni Yanga yanga yanga ..Yanga woyeeeee ..okey byee sema leo nilipenic sana".

Sasa jiulize maneno haya niyakweli au?!! Au yeye ni Yanga Ukawa….Hehehe. Hongereni Simba na poleni washabiki wa Yanga

 

 

10 years ago

Michuzi

MREMA AENDELEA KUANDAMWA VUNJO,WANANCHI WACHANGA PESA KUMCHUKULIA FOMU INNOCENT MELLECKY WA CCM


Inocent Melleck akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Innocent Melleck akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi hao waliojitokeza kumchangi fedha kwa ajili ya kugombea Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MBUNGE wa jimbo la Vunjo,Agustino Mrema(TLP) ameendelea kupata upinzani katika Jimbo lake baada ya baadhi ya wananchi kujitokeza...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mimi ndiyo nitaleta mabadiliko CCM

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alisema kuwa muda wa mabadiliko aliyotabiri Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere ni sasa na kwamba yeye ndiye anayeweza kuyaongoza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani