CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya Mapacha watatu Kahalid chokoraa anategemea kupanda ulingoni jumamosi ya tarehe 24 katika ukumbi wa friends corner kuzipiga na bondia chipukizi mwenye uchu wa ushindi muda wote awpo ulingoni Abdul manyenza.
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mayweather kupanda ulingoni septemba
9 years ago
Habarileo11 Nov
Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22
BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.
10 years ago
Vijimambo06 May
BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GP5jnSKTJH2qOihGIbkTOgmvvJ09LQr8OODIg_KYl6vq0f-pJBb0GnIVHuio4EIIID-Sbby7X56lX5gTO3C1xp6cN0Jp5FtTfknQslCcyUEDRgMYIRW5FNC-2WNQCK3dae8=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/11/Bondia-Francis-Cheka.jpg)
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...
9 years ago
MichuziCHEKA KUPANDA ULINGONI FEB, 23 DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Miguu ya ‘chokoraa’ ilivyogeuka dhahabu
PAMOJA na kuitwa jina lenye ukakasi kulitamka kwamba ni timu ya Watoto wa Mitaani ama ‘Chokoraa’, leo hii vijana hao kutokea Jiji la Mwanza, ndio mabingwa wa dunia. Ni ubingwa...
10 years ago
Bongo509 Oct
New Music: Khalid Chokoraa Ft. T.I.D — Chaguo Langu
11 years ago
Michuzi06 Aug
BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G8LL_rdhOXo/VjNkOYXQADI/AAAAAAAIDgA/W_eD5h9fGNM/s72-c/index.jpg)
CHEKA ULINGONI UINGEREZA NOVEMBA 7
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8LL_rdhOXo/VjNkOYXQADI/AAAAAAAIDgA/W_eD5h9fGNM/s1600/index.jpg)
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Advance Security Limited, Juma Ndambile amesema kuwa Cheka anatarajia kuondoka wiki ijayo kwa ajili ya pambano hilo.Ndambile ambaye ni meneja wa Cheka, alisema kuwa tayari msaidizi wake, Rashid Nassoro yupo nchini Uingereza akiwa na mabondia wengine wawili huku...
11 years ago
Mwananchi26 May
Magia, Kiwale ulingoni Juni 7