Magia, Kiwale ulingoni Juni 7
Bondia Fadhil Magia anatarajiwa kupanda ulingoni kukabiliana na Hassan Kiwale katika pambano lisilo la ubingwa la raundi nane uzito wa Super fly, linalotarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Friends Corner, jijini Dar es Salaam Juni 7 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziCHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...
9 years ago
MichuziCHEKA ULINGONI UINGEREZA NOVEMBA 7
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Advance Security Limited, Juma Ndambile amesema kuwa Cheka anatarajia kuondoka wiki ijayo kwa ajili ya pambano hilo.Ndambile ambaye ni meneja wa Cheka, alisema kuwa tayari msaidizi wake, Rashid Nassoro yupo nchini Uingereza akiwa na mabondia wengine wawili huku...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mayweather kupanda ulingoni septemba
9 years ago
Habarileo11 Nov
Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22
BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.
9 years ago
Bongo516 Dec
The Game kuzichapa ulingoni na rapper huyu?
The Game anaweza kupata fursa ya kumaliza beef na rapper mwenzie, Stitches bila kuwwa na hatari ya kwenda jela kwakuwa amepewa ofa ya kupanda ulingoni kuzichapa na tayari mwenzie ameshasaini makubaliano.
Damon Feldman anapromote pambano hilo la mastaa na ameiambia TMZ kuwa litakuwwa la raundi 3 na kila moja ikiwa na sekunde 90.
Wawili hao waliiingia kwenye ugomvi jijini Miami ambapo Stitches alipigwa ngumi na mpambe wa The Game na kuanguka.
Bado tarehe ya pambano hilo haijatangazwa na kama...
9 years ago
MichuziCHEKA KUPANDA ULINGONI FEB, 23 DAR ES SALAAM
Promota Juma Msangi kushoto akiwa na Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah ‘Ustadhi’ pamoja na Meneja msaidizi wa bondia Fransic Cheka wakitambulisha mpambano wa bondia Cheka mbele ya waandishi wa habari mpambano utakaofanyika Feb 27 katika uwanja wa Leaders Club . Promota Juma Msangi kushoto akiwa na Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah ‘Ustaadhi’ pamoja na Meneja msaidizi wa bondia Fransic Cheka wakitambulisha...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Koba: Dakika tisa ulingoni zilinipa kazi
10 years ago
Vijimambo06 May
BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,
akizungumza matahalisho ya mpambano uho promota Kaike Siraju amesema kuwa amejipanga vizuri kwani kila kitu kinaenda vizuri kwa ivi sasa ambapo mabondia wa utangulizi wote wanatarajia kusainishwa wiki hii
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...
11 years ago
MichuziMPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24