Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEKA KUPANDA ULINGONI FEB, 23 DAR ES SALAAM


Promota Juma Msangi kushoto akiwa na Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah ‘Ustadhi’ pamoja na Meneja msaidizi wa bondia  Fransic Cheka  wakitambulisha mpambano wa bondia Cheka mbele ya waandishi wa habari mpambano utakaofanyika Feb 27 katika uwanja wa Leaders Club .  Promota Juma Msangi kushoto akiwa na Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah ‘Ustaadhi’ pamoja na Meneja msaidizi wa bondia  Fransic Cheka  wakitambulisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA

BONDIA Fransic Cheka atapanda ulingoni kwa mara ya kwanza kabisaa baada ya kutoka jera ambapo atacheza na Kiatchai Singwancha . kutoka 
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,

akizungumza matahalisho ya mpambano uho promota Kaike Siraju amesema kuwa amejipanga vizuri kwani kila kitu kinaenda vizuri kwa ivi sasa ambapo mabondia wa utangulizi wote wanatarajia kusainishwa wiki hii

 mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...

 

11 years ago

Michuzi

CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24

Mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya Mapacha watatu Kahalid chokoraa anategemea kupanda ulingoni jumamosi ya tarehe 24 katika ukumbi wa friends corner kuzipiga na bondia chipukizi mwenye uchu wa ushindi muda wote awpo ulingoni Abdul manyenza. 
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather kupanda ulingoni septemba

Bondia Floyd Maywether atapanda tena ulingoni mwezi Septemba 12 mwaka huu kuzipiga na Andre Berto

 

9 years ago

Michuzi

CHEKA ULINGONI UINGEREZA NOVEMBA 7

Na Mwandishi wetuBONDIA wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka atapanda ulingoni mjini Manchester Uingereza Novemba 7 kupambana katika pambano lisilokuwa la ubingwa.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Advance Security Limited, Juma Ndambile amesema kuwa Cheka anatarajia kuondoka wiki ijayo kwa ajili ya pambano hilo.Ndambile ambaye ni meneja wa Cheka, alisema kuwa tayari msaidizi wake, Rashid Nassoro yupo nchini Uingereza akiwa na mabondia wengine wawili huku...

 

9 years ago

Habarileo

Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22

BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.

 

10 years ago

Vijimambo

RUFAA YA CHEKA KUSIKILIZWA DAR-ES-SALAAM FAILI LA KESI YAKE KUTUA SIKU YEYOTE

Baba wa Francis Cheka akiwa na majonzi baada ya mtoto wake kuhukumiwa kwenda magereza miaka mitatu.Mkakati wa kumkatia rufaa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka, bado unaendelea ambapo kwa sasa faili la hukumu ya kesi yake linatarajia kutua jijini Dar katika Mahakama ya Rufaa siku yoyote.Cheka anatumikia kifungo cha miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya shambulio la kudhuru mwili dhidi ya meneja wa baa yake, Bahati Kibanda, lililofanyika Julai 2, mwaka jana.
Mmoja wa memba...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki akipanda mti kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mpya iliyopo Mabwepande nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye kilelele cha maadhimisho ya upandaji miti yaliyofanyika kimkoa wilayani Kinondoni leo. Wa tatu kulia anayeshuhudia upandaji miti huo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuf Mwenda akipanda mti katika maadhimisho hayo. Mratibu wa mazingira kutoka Taasisi ya EBPA, Charles Lugenga (kushoto),...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA UCHUKUZI YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI YA KUZUIA MMOMOMYOKO WA ARDHI KWENYE ENEO LA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO

Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo la bandari ya Dar es Salaam kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’. Sehemu ya wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi na taasisi zake wakiwa kwenye zoezi la usafi wa mazingira katika eneo la Bandari ya Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani