CHEKA ULINGONI UINGEREZA NOVEMBA 7
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8LL_rdhOXo/VjNkOYXQADI/AAAAAAAIDgA/W_eD5h9fGNM/s72-c/index.jpg)
Na Mwandishi wetuBONDIA wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka atapanda ulingoni mjini Manchester Uingereza Novemba 7 kupambana katika pambano lisilokuwa la ubingwa.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Advance Security Limited, Juma Ndambile amesema kuwa Cheka anatarajia kuondoka wiki ijayo kwa ajili ya pambano hilo.Ndambile ambaye ni meneja wa Cheka, alisema kuwa tayari msaidizi wake, Rashid Nassoro yupo nchini Uingereza akiwa na mabondia wengine wawili huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 May
BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GP5jnSKTJH2qOihGIbkTOgmvvJ09LQr8OODIg_KYl6vq0f-pJBb0GnIVHuio4EIIID-Sbby7X56lX5gTO3C1xp6cN0Jp5FtTfknQslCcyUEDRgMYIRW5FNC-2WNQCK3dae8=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/11/Bondia-Francis-Cheka.jpg)
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...
9 years ago
MichuziCHEKA KUPANDA ULINGONI FEB, 23 DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzicheka kuzipiga uingereza Sept 19
Bondia nyota nchini wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalum lisilo la ubingwa la uzito wa Super Middle.
Pambano hilo limepangwa kufanyika mjini Manchester Septemba 19 na maandalizi yake yamekwisha kamilika.Meneja mpya wa bondai huyo, Juma Ndambile alisema kuwa Cheka ataondoka hapa nchini Septemba 15 kwenda Uingereza kwa ajili ya pambano hilo la raundi 10.
Ndambile ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Matokeo ya jana Jumamosi Novemba 7 na ratiba ya michezo ya leo Novemba 8 katika ligi kubwa tano (5) barani Ulaya
ENGLAND – PRIMEAR LEAGUE
Bournemouth 0 – 1 Newcastle United
West Ham United 1 – 1 Everton
Sunderland 0 – 1 Southampton
Norwich City 1 – 0 Swansea City
Manchester United 2 – 0 West Bromwich Albion
Leicester City 2 – 1 Watford
Stoke City 1 – 0 Chelsea
HISPANIA- PRIMERA DIVISION
Celta de Vigo 1 – 5 Valencia
Levante 1 – 1 Deportivo de La Coruña
Eibar 3 – 1 Getafe
Rayo Vallecano 2 – 1 Granada
Málaga 0 – 1 Real Betis
UJERUMANI – BUNDESLIGA
FSV Mainz 2 – 0 VfL Wolfsburg
Bayer Leverkusen 1 – 2...
10 years ago
Michuzi06 Nov
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s1600/unnamed+(4).jpg)
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mayweather kupanda ulingoni septemba
11 years ago
Mwananchi26 May
Magia, Kiwale ulingoni Juni 7