Koba: Dakika tisa ulingoni zilinipa kazi
Koba Kimanga ni miongoni mwa mabondia waliotamba na timu ya Taifa ya ngumi kati ya mwaka 1978 hadi 1998.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/W7X7d3oOeC4/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Kinondoni yawatimua kazi watumishi tisa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p-yE4peQA7k/Xt5GAVvbhzI/AAAAAAALtE8/vcPMotWEaZ0Nr7jEKKCHf0846oJmw0d2gCLcBGAsYHQ/s72-c/851F322A-C87A-4919-92A3-A7012C9B6887-768x403.jpeg)
DEREK CHAUVIN-MIAKA 18 YA KAZI, MALALAMIKO 18 NA DAKIKA 8 ZA MAUAJI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
DEREK Chauvin ofisa wa polisi nchini Marekani amefahamika zaidi tangu Mei 25 mwaka huu na hiyo ni baada ya kutekeleza mauaji ya mmarekani mweusi George Floyd hadharani kwa kumkandamiza shingo kwa takribani dakika nane hadi umauti ulipomkuta.
Derek Chauvin alizaliwa Machi 19, 1976 huko Fayetteville na alihamia Minneapolis, Minnesota mwaka 2014 na alianza kufanya kazi akiwa ofisa wa polisi katika idara ya polisi Minneapolis mwaka 2001.
Kabla ya kufanya...
9 years ago
Bongo503 Sep
Music: Koba — Zawadi
11 years ago
Bongo517 Jul
New Video: Koba Ft Dully Sykes — Kizungumkuti
11 years ago
GPL19 Jul
11 years ago
Michuzi19 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s72-c/SHARI%2Bcopy.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA KUMVAA KOBA DONATI IDI PILI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s640/SHARI%2Bcopy.jpg)
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Mohamed Matumla anatalajia kupanda tena uringoni siku ya Idi pili katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani kupambana na Koba Nodat katika uzito wa KG 57 mpambano wa raundi sita Matmla anapambana mpambano uho baada ya mpambano wake wa mwisho kumtwanga Mchina kwa pointmratibu na promota wa mpambano uho Muhsin Sharif amesema amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi litawakutanisha bondia Iddi Pialali kutoka Kiwangwa Bagamoyo...
9 years ago
Bongo526 Nov
Mc Koba aeleza sababu za kuamua kutumia mtindo wa mchiriku na mdundiko kwenye muziki wake
![koba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/koba-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa muimbaji wa kundi la zamani la Watu Pori kutoka Morogoro, Mc Koba amesema ameamua kufanya mabadiliko kidogo katika style ya muziki wake ili kwenda sawa na matarajio ya wengi ambao hupenda kuona mabadiliko kutoka kwa wasanii ambao wako kwenye game kwa muda mrefu.
Akizungumza kupitia E Newz ya EATV, Koba ametoa sababu nyingine ya kuamua kufanya aina ya muziki wenye mchanganyiko wa mdundiko na mchiriku.
“Kwanini nimeamua kufanya mtindo huu aina ya mchanganyiko wa mdundiko na...