Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinondoni yawatimua kazi watumishi tisa

Baraza la Madiwani la Manispaa yaa Kinondoni jijini Dar es Salaam limewafukuza kazi watumishi wake tisa kati ya 11 kwa madai ya matumizi mabaya ya madaraka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yawatimua watumishi watano

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imewatimua kazi wafanyakazi wake watano na kuwasimamisha wengine 10 kutokana na kufanya hujuma mbalimbali, ikiwamo kughushi hati za viwanja.

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”

Pix 1

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi  mara baada ya kuanza kazi rasmi  katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE,  Obedi Mbaga.

Pix 2

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi  mara baada ya kuanza kazi rasmi  katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE,  Obedi Mbaga.

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...

 

10 years ago

Mwananchi

Koba: Dakika tisa ulingoni zilinipa kazi

Koba Kimanga ni miongoni mwa mabondia waliotamba na timu ya Taifa ya ngumi kati ya mwaka 1978 hadi 1998.

 

10 years ago

Habarileo

Watumishi 1,200 wafukuzwa kazi

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim MajaliwaJUMLA ya watumishi 1,205 wamechukuliwa hatua mbalimbali na Serikali, ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi, kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma, kati ya mwaka 2010/11 na 2014/15.

 

9 years ago

Mtanzania

Watumishi wasimamishwa kazi Dodoma

rebeccaRamadhan Hassan, Dodoma

SERIKALI imewasimamisha kazi maofisa biashara wawili wa Mkoa wa Dodoma kutokana na kuchelewesha utoaji wa leseni za biashara.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka ofisi ya Rais (TAMISEMI), Rebbeca Kwandu, aliwataja waliosimamishwa kazi kuwa ni Elias Kamara na Donatila Vedasto.

“Agizo hili limetolewa na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene baada ya...

 

10 years ago

Habarileo

Watumishi washauriwa kusoma sheria za kazi

WATUMISHI wa idara, taasisi, mashirika mbalimbali ya serikali na binafsi wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupenda kusoma na kupitia sheria na kanuni za kazi kabla ya kudai haki zao.

 

9 years ago

StarTV

Watumishi wa TAMISEMI watakiwa kuifanyia kazi

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewaagiza watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kuichambua hotuba ya Rais Magufuli na kuanza kuifanyia kazi.

Waziri mkuu ametoa maagizo hayo alipokutana na watendaji wa ofisi hiyo ambayo inahusika na utekelezaji wa sera na mipango mbalimbali ya Serikali inayowagusa wananchi moja kwa moja.

Baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kasim Majaliwa kutoa maagizo hayo Katibu Mkuu TAMISEMI, Jumanne Abdalah Sagini anawaambia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani