HUU NDIO WIMBO ATAKAOINGIA NAO PACQUIAO ULINGONI SIKU YA MAY 2 KUOMYESHANA KAZI NA MAYWEATHER
![](http://img.youtube.com/vi/W7X7d3oOeC4/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Apr
Usikie wimbo wa Pacquiao atakaoingia nao siku ya pambano lake na Mayweather
Manny Pacquiao hataki kuingia na wimbo wa msanii mwingine siku atakayopanda ulingoni kuzichapa na Floyd Mayweather. Bondia huyo wa Ufilipino ametunga wimbo wake mwenyewe. Wimbo huo alioimba kwa hisia kali unawatia moyo moyo wafilipino waishio katika maisha magumu. Pambano lao litapigwa May 2 jijini Las Vegas.
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mayweather kupanda ulingoni septemba
Bondia Floyd Maywether atapanda tena ulingoni mwezi Septemba 12 mwaka huu kuzipiga na Andre Berto
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6XTbtN2jNM8/default.jpg)
10 years ago
Bongo529 Apr
Justin Bieber kuubeba mkanda wa Mayweather atakapoingia ulingoni Jumamosi hii
Justin Bieber ni shabiki namba moja wa Floyd Mayweather ndio maana ataubeba mkanda wa bondia huyo wakati atakapoingia ulingoni Jumamosi hii. Mayweather atapanda ulingoni siku hiyo kuzipiga na Manny Pacquiao. Kwa mujibu wa The Sun, Bieber ataongoza msafara wa Mayweather wakati utakapopanda kwenye ulingo wa MGM Grand. Chanzo kimoja kimeliambia gazeti hio: As long as […]
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Mayweather na Pacquiao wakosolewa
Mabondia mashuhuri wa zamani wa Kenya, Steve Muchoki na Muhammad Abdallah Kent, wamewakosoa Floyd Mayweather na Manny Paqcuiao
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Pacquiao na Mayweather kuzichapa?
Lile pambano la masumbwi la uzito wa welterweight linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao limeiva.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkwBmNeW47WALvT2i0v7Q-mwm*Su2BP2VTsauvoNGncD9Gmi1P4j4L5583hk71lguuMwbm4XJhS2TLKrAdnW6B3/FloydMayweathervManny007.jpg?width=650)
MAYWEATHER VS PACQUIAO NANI BINGWA?
Mayweather na Pacquiao wakitambiana. Japo tayari ni tajiri, Mayweather ambaye jina lake la utani ni Money, atapokea zaidi ya dola milioni 150 na Pacquiao kama dola milioni 100.Ni Mayweather au Pacquiao Las Vegas? Pacquiao yeye ametoka jamii ya kimaskini huko Ufilipino na kuna wakati katika maisha yake ya utotoni aliwahi kulala njaa. Floyd Mayweather akipima uzito. Achilia mbali wanaoangalia kwenye TV, wengi wa mashabiki huko...
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mayweather kuchapana na Pacquiao Mei 2
Bondia Floyd Mayweather ametaja tarehe 2 mwezi May mwaka 2015 kama siku ya pigano kati yake na Manny Pacquiao .
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mayweather akubali kuzichapa na Pacquiao
Floyd Mayweather Junior ametangaza kuwa pigano na mwanamasumbwi raia wa ufilipino Manny Pacquiao litafanyika mjini Las Vegas Mei 2
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania