Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usikie wimbo wa Pacquiao atakaoingia nao siku ya pambano lake na Mayweather

Manny Pacquiao hataki kuingia na wimbo wa msanii mwingine siku atakayopanda ulingoni kuzichapa na Floyd Mayweather. Bondia huyo wa Ufilipino ametunga wimbo wake mwenyewe. Wimbo huo alioimba kwa hisia kali unawatia moyo moyo wafilipino waishio katika maisha magumu. Pambano lao litapigwa May 2 jijini Las Vegas.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PACQUIAO AJICHUA VIKALI KUELEKEA PAMBANO LAKE LA KARNE DHIDI YA MAYWEATHER

Manny Pacquiao akijiandaa na pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather. Maandalizi yakiwa yamepamba moto kwenye gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani. BONDIA mahiri kutoka Ufilipino, Manny Pacquiao ameendelea kujichua vikali katika gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani. Pacquiao anajiandaa na pambano lake kali dhidi ya… ...

 

10 years ago

GPL

MANNY PACQUIAO ATUA LAS VEGAS TAYARI KWA PAMBANO LAKE LA KIHISTORIA DHIDI YA FLOYD MAYWEATHER

Manny Pacquiao akiwasalimia mashabiki wake waliofika kumpokea alipowasili katika Hoteli ya Mandalay Bay jijini Las Vegas jana usiku. Basi lililobeba wageni na timu ya walimu wa mafunzo wa Pacquiao likielekea Las Vegas jana mchana. Pacquiao akiwa amembeba mwanaye aitwaye Israel baada ya kushuka kwenye basi lake.…

 

10 years ago

GPL

UTATA MPYA PAMBANO LA MAYWEATHER, PACQUIAO

Karatasi ya matokeo ya majaji watatu Glenn Feldman, Burt Clements na Dave Moretti zinavyoonyesha na picha inawaonyesha mabondia hao katika kona zao, Floyd Mayweather ya bluu (kushoto) na Manny Pacquiao nyekundu (kulia). Floyd Mayweather akiwa amekaa kona nyenye rangi blue.…

 

10 years ago

GPL

RAMBO: MAYWEATHER ATASHINDA PAMBANO DHIDI YA PACQUIAO

Mabondia wa ngumi za uzito wa juu zaidi duniani, Floyd Mywether na Manny Pacquiao wanaotarajia kupanda uliongoni kuoneshana ubabe tarehe 2, Aprili mwaka huu. MCHEZA sinema maarufu duniani wa Marekani, Sylvester Stallone ‘Rambo’ amesema bondia Floyd Mayweather atashinda katika pambano dhidi ya bondia Mfilipino, Manny Pacquiao litakalofanyika Mei 2 mwaka huu. Mcheza sinema maarufu duniani Sylvester Stallone 'Rambo' na...

 

10 years ago

Bongo5

Pambano la Mayweather na Pacquiao huenda likapigwa Dubai, 2015

Pambano la masumbwi linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao linaweza kupigwa Mashariki ya Kati. Ripoti zinadai kuwa kundi la wawekezaji kutoka Falme za Kiarabu limetenga paundi milioni 70 kuhakikisha pambano hilo linachezwa Dubai. Baada ya miaka mingi ya kukwepana, huenda pambano hilo likafanyika May mwakani. Mapambano mengi maarufu ya ndodi hata […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhuria kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhulia kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: HII NDO DIET YA MANNY PACQUIAO KABLA YA PAMBANO DHIDI YA MAYWEATHER

Tweet
Siku moja tu imesalia kabla ya pambano la kimataifa la masumbwi, kati ya wakali wawili Manny Pacquiao na Floyd Maywether the money team,ambao watapanda ulingoni na kutusanua nani mkali zaidi.Jana kwa nyakati tofauti wakali hawa walizungumza na fans waliofurika katika ukumbi wa MGM grand, Mayweather jr amedai kuonesha uwezo na kumchapa mfilipino huyo
“Nimejiandaa vizuri,na nitamdunda Manny” alitamba TMT.Kwa upande wake mwanamasumbwi Pacquiao amedai hakuwahi kumuogopa Floyd na wala hadhani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani