PICHA: HII NDO DIET YA MANNY PACQUIAO KABLA YA PAMBANO DHIDI YA MAYWEATHER
![](http://4.bp.blogspot.com/-DCYsV2QIEjA/VUTjIvXYMlI/AAAAAAAABc4/rai9eWDH70Q/s72-c/11123831_506150229537160_1197628787_n.jpg)
TweetSiku moja tu imesalia kabla ya pambano la kimataifa la masumbwi, kati ya wakali wawili Manny Pacquiao na Floyd Maywether the money team,ambao watapanda ulingoni na kutusanua nani mkali zaidi.Jana kwa nyakati tofauti wakali hawa walizungumza na fans waliofurika katika ukumbi wa MGM grand, Mayweather jr amedai kuonesha uwezo na kumchapa mfilipino huyo
“Nimejiandaa vizuri,na nitamdunda Manny” alitamba TMT.Kwa upande wake mwanamasumbwi Pacquiao amedai hakuwahi kumuogopa Floyd na wala hadhani...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OIQ5EZ1QOJmOBU51voeowun8a0J9cIxzsMfnotSsSSAQxHKIj1LmynlpevWvt-vqAMzGSGJhb1jDG6K-0msPlk/1.jpg?width=650)
MANNY PACQUIAO ATUA LAS VEGAS TAYARI KWA PAMBANO LAKE LA KIHISTORIA DHIDI YA FLOYD MAYWEATHER
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s72-c/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s640/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-BrB60k*2qFA0eLxL9*81MKF5K0UXvtKNmTbPSoWeGpn5UQgdN2ykbR2p383GXzdxEsbPiXMCSLg44osDymLBn/pacquiaovsmayweather.jpg)
RAMBO: MAYWEATHER ATASHINDA PAMBANO DHIDI YA PACQUIAO
10 years ago
Dewji Blog03 May
Mastaa kibao waliohudhulia kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao
Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.
Las Vegas, USA
Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.
Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Mastaa kibao waliohudhuria kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao
Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.
Las Vegas, USA
Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.
Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1Z1ge09p*xSl6zFSHWBRl1KzUdkLeoQJEzK3q2hOvQAnLGMWcEI13RxLpHqcsGm9TIMMOiacuxdGMfGbi*nOcdQ/1.jpg?width=650)
PACQUIAO AJICHUA VIKALI KUELEKEA PAMBANO LAKE LA KARNE DHIDI YA MAYWEATHER
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s72-c/untitled.png)
Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.
Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s1600/untitled.png)
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzgivnrD0QJRsy2lWHGR-8KZR-GjAzc2F7MFiPwqERxg0jsiEdaVb1ELMJbliVZpcvXoAfRiPfGADr*Hzs4hnffo/1.jpg?width=650)
FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI