Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miguu ya ‘chokoraa’ ilivyogeuka dhahabu

PAMOJA na kuitwa jina lenye ukakasi kulitamka kwamba ni timu ya Watoto wa Mitaani ama ‘Chokoraa’, leo hii vijana hao kutokea Jiji la Mwanza, ndio mabingwa wa dunia. Ni ubingwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24

Mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya Mapacha watatu Kahalid chokoraa anategemea kupanda ulingoni jumamosi ya tarehe 24 katika ukumbi wa friends corner kuzipiga na bondia chipukizi mwenye uchu wa ushindi muda wote awpo ulingoni Abdul manyenza. 
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Khalid Chokoraa Ft. T.I.D — Chaguo Langu

Wimbo mpya kutoka kwa Member wa Band ya Mapacha Watatu Khalid Chokoraa akimshirikisha TID wimbo unaitwa “Chaguo Langu” Studio Big Time Production Producer Said Comorien

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya mwaka wa 100 ilivyogeuka tukio la kitaifa.

Zaidi ya kadi 125,000 kutoka kote duniani zimekua zikitumwa kumtakia kapteni Tom Moore furaha katika kumbukumbu yake ya miaka 100 ya kuzaliwa.

 

11 years ago

Michuzi

BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8

Bondia Khalid Chokoraa (kushoto), ambaye pia ni mwanamuziki wa bendi ya  Mapacha watatu  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Rashidi Juma wakati wa mazoezi katika kambi yake iliyoko  Mwananyamala jijini Dar es salaam akijiandaa kupambana na  Said Memba katika mpambano wao utakaofanyika Agosti Nane wakati wa siku ya tamasha la matumaini Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.Bondia Khalid Chokoraa akipiga begi wakati wa maandalizi ya kujiandaa na mchezo wake Bondia Khalid Chokoraa ...

 

11 years ago

Habarileo

Jubilee ya Dhahabu Muungano

TANZANIA, leo inasherehekea miaka 50 ya Muungano wa kihistoria wa Tanganyika na Zanzibar, huku Rais Jakaya Kikwete akisema uko salama na kusisitiza hana shaka utaendelea kudumu na kwamba wale wachache wanaochukia na wanaotaka uvunjike wana lao jambo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’

KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tumbaku 'dhahabu' ya Malawi

Malawi ni miongoni mwa nchi zinazozalisha tumbaku kwa wingi duniani. Uchumi wake unategemea kilimo cha zao hilo kwa asilimia 75. Na Baruan Muhuza

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yapata dhahabu ya kwanza

Mwanariadha wa Tanzania, Sabas Daniel ameibuka kinara kwenye fainali ya kurusha mkuki na kutwaa medali ya dhahabu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki (Feasssa).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani