‘Mrwanda chaguo langu’
Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amemrudisha kundini mshambuliaji Danny Mrwanda akieleza kuwa ndiye alikuwa chaguo lake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Oct
New Music: Khalid Chokoraa Ft. T.I.D — Chaguo Langu
10 years ago
Bongo Movies25 May
Picha: Usihukumu Chaguo Langu Kabla Haujaelewa Sababu Zangu-Ray
Picha hapo juu ni staa mkongwe wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans amebnaye pia ni staa wa Bongo Movies.
Ray alibandika picha hii kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram na kuadika “don't judge my choice before understanding my reasons”.
Mafuliko ya LIKES na COMMENTS kwenye picha hii ndio yamenifanya niileta hapa ili nawe mdau usafishe macho.
Mbali na ujumbe mzito aliondikwa kwenye picha hii, wawili hawa kiukweli wametokelezeaaaa.Neno moja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iV1qS3pYI5To6wSGGqSuSR7diHOxJyg7fMFNUEpHrFJjvu1APwmgEWvaFkyQBBTc5SFVAOzCYOyfAxNnCL422t5/oiooo.jpg)
Tegete, Mrwanda watemwa Yanga
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mrwanda asaini mwaka mmoja Yanga
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Mfumo unaiharibu Taifa Stars- Mrwanda
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mrwanda amtaka Malinzi kuacha utani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXmeIACEcj0LXe5NNeKBIEIyAaFjJWchfTWpuRg8J-WB7KDaH8VB8UAfZcyY7zkJOhCxDJtzMLiKJk7i9TbW9fZ/sensuality1.jpg?width=650)
Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Hili ndilo chaguo la Mungu!
MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...
9 years ago
StarTV20 Aug
Kikwete: Magufuli chaguo la Mungu.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ni chaguo la Mungu.
Akizungumza na wazee, wanawake, vijana na wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam jana, alisema jina la Dk. Magufuli lilijitokeza katika hatua zote za uteuzi ikiwamo vikao vya wazee na hata katika Mkutano Mkuu alichaguliwa na maelfu, jambo linaloonyesha anakubalika kwa wote. Alisema Mungu ametoa hukumu yake kwa mtu wake na Watanzania ndiyo wataamua katika...