Pete ya ndoa na umuhimu wake
KARIBU katika Safu ya Urafiki na Mahusiano. Ni matumaini yangu umzima wa afya na nawashukuru kwa maoni yenu. Jumamosi ya leo, tutazungumzia suala zima la kuvaa pete, lakini si kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwEXeezyPSnBwaiItWHK9H9ijS2LwLrrms4*zx*2eqTZZ7f2RVxGHHW-VHxYV3e26nU6qaH-hGpTXdBn2J-y0Xui/thea.jpg)
THEA: NDOA SIYO PETE
Stori: Imelda Mtema
Msanii wa muda mrefu katika filamu Bongo, Salome Urassa maarufu kama Thea, amejinasibu kuwa kutovaa kwake pete ya ndoa haimaanishi chochote kwa vile kitu hicho siyo muhimu. Msanii wa muda mrefu katika filamu Bongo, Salome Urassa maarufu kama Thea wakati wa kufunga ndoa. Akizungumza na paparazi wetu juzikati, Thea alisema awali alikuwa akivaa pete, lakini bahati mbaya ilipotea na kupotea huko...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkELzS-3z7*edqv-4zCx7nis*-uHL4U2Xiwh-UtS5AnpyHqu8TSaNAUlq0Do7MrF2Hw*B6Ror9YxDwSza7yu1nyP4/Happy.jpg)
HAPPY AUZA PETE YA NDOA, PESA ALEWEA
Stori: Imelda mtema
Msanii wa filamu Bongo, Happy Nyatawe ametoa kali ya kufungia mwaka kwa kusema kuwa hivi karibuni aliamua kuuza pete yake ya ndoa na pesa aliyopata alienda kulewea pombe. Msanii wa filamu Bongo, Happy Nyatawe. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Happy alisema alifikia uamuzi huo baada ya kuona pete hiyo inabana kidole chake na mumewe amegoma kurejea kutoka nchini Brazil alikoenda kibiashara. “Mimi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbn-VvuroCF0mG74DF1bj5-mVh9PrMn-54AFYKWWuxeUheUfzLO7NPG-1cqzK*7GcP6fJk1chlFUzCHGxNWb2nQ/maf.jpg?width=650)
MAI AVISHWA PETE YA UCHUMBA, NDOA UPYA
Stori: Hamida Hassan
MTANGAZAJI ambaye kwa sasa anafanya dili za ujasiriamali, Maimartha Jese ‘Mai’hivi karibuni alivishwa upya pete ya uchumba na ya ndoa baada ya zile za wali kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Mtangazaji ambaye kwa sasa anafanya dili za ujasiriamali, Maimartha Jese ‘Mai’ Aliyemfanyia tukio hilo ni mumewe aitwaye Shaa na baada ya vidole vyake kupendeza tena alitupia picha...
10 years ago
Bongo510 Oct
Kanye West kumtengenezea mwanae North pete ya ndoa, sasa
Katika kuonesha ni kiasi gani anampenda mwanae, North, Kanye West amepanga kumtengenezea pete ya thamani ya kumvisha kwenye kidole cha ndoa, chanda. Kwa mujibu wa mtandao wa HollywoodLife, Kanye anataka kuwa mtu wa kwanza kumvisha pete hiyo kidoleni kwake. Kanye atamvisha mwanae pete hiyo ya almasi wakati huu akiwa na mwaka mmoja tu. “Yupo kwenye […]
10 years ago
Bongo522 Dec
‘Ndoa inafuata’ adai Nuh Mziwanda baada ya kumvisha pete ya uchumba Shilole
Nuh Mziwanda na Shilole ni wachumba halali. Nuh alimvisha Shilole pete ya uchumba weekend hii wakati akisherehekea siku yake ya kuzaliwa. Sherehe hiyo ilihudhuriwa na mastaa kibao. Nuh ameiambia Bongo5 kuwa ndoa ni hatua inayofuata muda si mrefu. “Kila siku naupdate vitu vipya katika maisha yake, nimechora tattoo ya kwanza Shishi baby, nikaja tena kwa […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGV8Rp6qG*11lDKqoOOwYfjF0rehXz-i7HmsmwhLCZOH8o04ANuEpUgCRMjpMi9eHJ7aQTOaLUr1FY0Lrttf3HRQ/diamondnazari.jpg?width=650)
DIAMOND: TAYARI NIMEMVALISHA PETE YA UCHUMBA ZARI, KUINGIA KATIKA NDOA MWAKA HUU
Diamond na mpenzi wake Zari katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds TV. STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefunguka kuwa tayari amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Zarinah Hassan 'Zari' na anatarajia kupata mtoto wa kike mwaka huu. Diamond ameyaongea hayo hivi punde katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds...
9 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s72-c/IMG_20150903_230049.jpg)
UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s640/IMG_20150903_230049.jpg)
Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4Ymt6iZZRWY/VekqD2fCK6I/AAAAAAAA0f4/wX6YmALBlUE/s640/IMG_20150904_081849.jpg)
10 years ago
Bongo515 Aug
Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni
Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa kufuatia tetesi hizo. […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg-*zb5jR*8KLFlRVHBVDoHliIfwI*F-2qQ-39NTWFWUi2NA*Ari0pYJ1p7hGr3xg1X-u1nyFGEhr3YZBYEKFX5a/balo.jpg?width=650)
BALOTELLI AMVALISHA PETE MPENZI WAKE
Mshambuliaji wa Italia na AC Milan, Mario Balotelli akiwa na mpenzi wake, Fanny Neguesha aliyemvisha pete. Mpenzi wa Mario Balotelli, Fanny Neguesha. MSHAMBULIAJI wa Italia na AC Milan , Mario Balotelli ametangaza kumchumbia mpenzi wake, Fanny Neguesha kuelekea mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Dunia dhidi ya England mjini Manaus. Mchezaji huyo… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania