Linah na Recho pete na kidole
Kawaida imezoeleka kwamba wasanii wanaofanya muziki wa aina moja huwa hawapatani na mara nyingi hushindwa kuwa karibu kutokana na kunyang’anyana mashabiki, kugombea shoo au ubize unaowafanya washindwe kukutana mara kwa mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWldIzl3zC1SU9AxaAQqHLyxO1--VLCFbJT-PFmAt6DDwawGsjmmAO2v6USgl*vIZtiuXFrvNwJ2f*47*SM3kEXU/1.jpg)
LINAH & RECHO WAFANYA MAMBO YA AIBU KWEUPEE
9 years ago
StarTV09 Nov
Wafanyabishara Arusha wanyoshewa kidole
Wafanyabiashara wanaotoa huduma katika masoko wametakiwa kudumisha utaratibu wa kufanya usafi katika maeneo yao ya biashara pasipo kushurutishwa ili kulinda afya za watumiaji wa bidhaa wanazouza, ikiwa ni jitihada za kupambana na ugonjwa wa kipindupindu.
Pia imeelezwa kuwa maeneo mengi ya masoko usafi wake hauridhishi kutokana na tabia ya baadhi ya wafanyabiashara kutokushiriki kikamilifu katika kufanya usafi.
wafanyabiashara wa soko kuu lililopo katikati ya jiji la Arusha pamoja na...
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Machangudoa Moro wanyooshewa kidole
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro, imewataka wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono katika eneo la Msamvu maarufu Itigi, kuacha mara moja.
Imeonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wote watakaokaidi amri hiyo kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
Agizo hilo lilitolewa juzi na Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amiri Nondo, ambapo alisema biashara hiyo ni haramu na kamwe haitaachwa iendelee.
“Nilifanya ziara ya kushitukiza katika eneo la Itigi Msamvu. Eneo...
10 years ago
BBCSwahili20 May
Poroshenko amnyooshea kidole Putin
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Amnesty yainyooshea kidole Burundi
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Obama ainyooshea kidole Urusi
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Lowassa ainyooshea kidole NEC
*Asema isipokuwa makini itavuruga uchaguzi
*Mbowe atoa elimu mpya kwa wapigakura
NA FREDY AZZAH, MAGU
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwamba kama haitakuwa makini, inaweza kuvuruga uchaguzi mkuu.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabasaba, mjini Magu...
10 years ago
StarTV19 Jan
Watumishi wa afya waendelea kunyooshewa kidole.
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Sekta ya afya nchini imetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuisabishia serikali lawama kutoka kwa wananchi kutokana na utendaji mbovu wa watumishi ambao umekuwa ukilalamikiwa kila kukicha bila kuchukuliwa hatua yeyote.
Pia sekta hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa jambo ambalo bado ni kilio kikubwa kwa serikali na wananchi.
Nia ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ni kuhakikisha mkoa unapiga hatua katika...
9 years ago
Habarileo16 Oct
Mzindakaya awanyooshea kidole Lowassa, Sumaye
MWANASIASA mkongwe, Dk Chrisant Mzindakaya amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Ukawa Edward Lowassa, anasukumwa na kundi la watu wenye uchu na uroho wa madaraka kwa kupitia mgongoni mwake kwa manufaa yao binafsi.