Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LINAH & RECHO WAFANYA MAMBO YA AIBU KWEUPEE

Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’ wakilishana keki kwa mdomo.
Na MUSA MATEJA/ijumaawikienda Hamnazo? Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi. Tukio hilo la aibu lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda, lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Linah na Recho pete na kidole

Kawaida imezoeleka kwamba wasanii wanaofanya muziki wa aina moja huwa hawapatani na mara nyingi hushindwa kuwa karibu kutokana na kunyang’anyana mashabiki, kugombea shoo au ubize unaowafanya washindwe kukutana mara kwa mara.

 

9 years ago

GPL

WAREMBO WAFANYA SHINDANO LA AIBU!

Dustan Shekidele, Morogoro MSALA! Warembo kadhaa wenyeji wa mji wa Morogoro Ijumaa iliyopita walishiriki kufanya shindano la aibu linalodaiwa kuandaliwa na viongozi wa serikali ya mtaa na kufanyika katika Ukumbi wa Shirati, wakicheza na kutembea nusu utupu jukwaani.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KRfCQB

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA RECHO ZAMZUIA SAGUDA MAMBO YA MAPENZI

Stori: Gladness Mallya
ALIYEKUWA mchumba wa msanii wa filamu Bongo, marehemu Sheila Haule ‘Recho’,  George Saguda amefunguka kuwa picha za mwanadada huyo zimekuwa zikimfanya asiwe na hisia za kuwa na mwanamke mwingine. George Saguda akiwa na aliyekuwa mchumba wake marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Akipiga stori na gazeti hili hivi karibuni, Saguda alisema tangu mchumba wake huyo afariki dunia...

 

9 years ago

GPL

MUME WA MTU AFANYA MAMBO YA AIBU!

Richard Bukos Mwanaume mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu, hivi karibuni alifanya mambo ya aibu ikiwemo kuvua nguo na kukata mauno mbele za wasichana. Baba huyo akisakata rumba. Tukio hilo lilijiri ndani ya Ukumbi wa Highway Night Park uliopo Ukonga jijini Dar wakati Bendi ya Mashujaa Musica ilipokuwa ikiporomosha burudani.Awali, mwanaume huyo ambaye ilidaiwa siku nyingine...

 

9 years ago

Bongo5

Hawa ni Watanzania wanowania ‘Style & Fashion Awards 2015’ za Uganda, Linah kutumbuiza

linah Ug

Mastaa mbali mbali wa muziki, wabunifu wa mavazi na wana mitindo wa Tanzania wanawania tuzo za ‘Style & Fashion Awards 2015’ (ASFAs) za Uganda. Tuzo hizo zitatolewa December 12 kwenye hoteli ya Serena jijini Kampala, Uganda.

linah Ug

Muimbaji wa Ole Themba, Linah Sanga yuko kwenye orodha ya wasanii waliopangwa kutoa burudani kwenye tuzo hizo. Msanii mwingine atakayetoa burudani ni muimbaji wa RnB kutoka Nigeria Banky W.

Wanaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo ni hawa:

ASFA-1

ASFA-2

ASFA-3

ASFA-4

ASFA-5

ASFA-6

ASFA-7

ASFA-8

ASFA-9

ASFA-10

ASFA-11

ASFA-12

ASFA-13

Jiunge na Bongo5.com...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani