Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAREMBO WAFANYA SHINDANO LA AIBU!

Dustan Shekidele, Morogoro MSALA! Warembo kadhaa wenyeji wa mji wa Morogoro Ijumaa iliyopita walishiriki kufanya shindano la aibu linalodaiwa kuandaliwa na viongozi wa serikali ya mtaa na kufanyika katika Ukumbi wa Shirati, wakicheza na kutembea nusu utupu jukwaani.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KRfCQB

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAREMBO KAENI MKAO WA KULA, USAHILI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA WAZINDULIWA

Mkurugenzi wa kampuni ya The look company limited Basilla Mwanukuzi,warembo pamoja na wadhamini wa shindano la Miss Tanzania kwa mwaka huu Grace product pamoja na Amina kwenye picha ya pamoja wakati wa kuzindua shindano hilo jijini Dar es salaam.    Na Khadija seif, Michuzi TvWAREMBO watakiwa kuibeba dhima ya urembo ni heshima na kujua malengo na yao pindi wapewapo taji la  Miss Tanzania ili kusaidia jamii inayowazunguka na Taifa kwa ujumla.
Akizungumza na waandishi wahabari Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

GPL

LINAH & RECHO WAFANYA MAMBO YA AIBU KWEUPEE

Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’ wakilishana keki kwa mdomo.
Na MUSA MATEJA/ijumaawikienda Hamnazo? Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi. Tukio hilo la aibu lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda, lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu yetu, aibu yao...

Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.

 

11 years ago

GPL

WIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO‏

 Joyce Kalinga Mshiriki wa Shindano la TMT ambae apia alikua mshindi kutoka Kanda ya Kati Mkoani Dodoma akitoa maneno yake ya shukrani na pia kuwashukuru wadau, Kampuni ya Proin Promotions na watazamaji na waliompigia kura japokuwa bahati haikuwa yake kutokana na kutolewa kwenye kinyanganyiro hicho baada na uchache wa kura kutoka kwa watazamaji.  Lulu na Joti wakitoa maelekezo kwa washiriki wawili wa Shindano la TMT...

 

5 years ago

Michuzi

KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika

KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD cha Mwenge jijini Dar es Salaam chaibuka kidedea katika shindano la nne la KAIZEN lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...

 

11 years ago

Michuzi

WIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII

 Waendeshaji wa Show ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwa kwa steji, tayari kwa kuendelea na show hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mkaumbusho ya Taifa Jijini Dar Es Salaam. Mshiriki Ally Kiwendo ambae alikuwa ni mmoja kati ya washindi watatu kutoka kanda ya Kusini mkoani Mtwara akitoa maneno ya shukrani kwa Kampuni ya Proin Promoitons ambao ndio waandaaji na waendeshaji wa Shindano la TMT mara baada ya kutangazwa kuaga shindano hilo kutokana na Kura kuwa chache,...

 

11 years ago

GPL

WAREMBO WACHAPWA BAKORA

Waandishi wetu MAUSTADH jijini Dar es Salaam wamefikia uamuzi mzito wa kutembeza bakora kwenye vijiwe korofi vya warembo wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili almaarufu kama machangudoa au machangu kwa kile kilichodaiwa kuwa wanasafisha jiji kutokana na kero za vishawishi vya kuharibiwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Maustadh wakimuadhibu mmoja wa machangudoa hao. Kwa mujibu wa sosi aliyewasiliana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani