WAREMBO WAFANYA SHINDANO LA AIBU!
![](http://api.ning.com:80/files/7fSVyjXLzVhGC70tKD*jwEQOp3Rp3Sc8PqINDQNWWPKD5IUO4L2JAPkfyBuwLzdCdoEQ-K*M-8JJnNyuFjqZcl1xWscr6Mjq/warembo.jpg?width=650)
Dustan Shekidele, Morogoro MSALA! Warembo kadhaa wenyeji wa mji wa Morogoro Ijumaa iliyopita walishiriki kufanya shindano la aibu linalodaiwa kuandaliwa na viongozi wa serikali ya mtaa na kufanyika katika Ukumbi wa Shirati, wakicheza na kutembea nusu utupu jukwaani. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KRfCQB
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Qr3Wam1Wl3w/XlfHCb3-NoI/AAAAAAALftY/Nhckn3cev6M77q74aJMxHzeYVgyG2UAEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200227-WA0046.jpg)
WAREMBO KAENI MKAO WA KULA, USAHILI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA WAZINDULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qr3Wam1Wl3w/XlfHCb3-NoI/AAAAAAALftY/Nhckn3cev6M77q74aJMxHzeYVgyG2UAEQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200227-WA0046.jpg)
Akizungumza na waandishi wahabari Mkurugenzi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWldIzl3zC1SU9AxaAQqHLyxO1--VLCFbJT-PFmAt6DDwawGsjmmAO2v6USgl*vIZtiuXFrvNwJ2f*47*SM3kEXU/1.jpg)
LINAH & RECHO WAFANYA MAMBO YA AIBU KWEUPEE
Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’ wakilishana keki kwa mdomo.
Na MUSA MATEJA/ijumaawikienda Hamnazo? Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi. Tukio hilo la aibu lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda, lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...
Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Aibu yetu, aibu yao...
Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.
11 years ago
GPLWIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO
 Joyce Kalinga Mshiriki wa Shindano la TMT ambae apia alikua mshindi kutoka Kanda ya Kati Mkoani Dodoma akitoa maneno yake ya shukrani na pia kuwashukuru wadau, Kampuni ya Proin Promotions na watazamaji na waliompigia kura japokuwa bahati haikuwa yake kutokana na kutolewa kwenye kinyanganyiro hicho baada na uchache wa kura kutoka kwa watazamaji.  Lulu na Joti wakitoa maelekezo kwa washiriki wawili wa Shindano la TMT...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBFbhAzGgg0/Xkv-ssOToQI/AAAAAAALeEg/QhZOYbv2I5YtnVod0ew3yUQiYXJxLEYJgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_152305_8.jpg)
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD cha Mwenge jijini Dar es Salaam chaibuka kidedea katika shindano la nne la KAIZEN lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...
11 years ago
MichuziWIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppDqWRZkjTGRLTVEKYCfnJXc37par8l604g9MPrKaykrtK*M7PoccrU3vI-Tr3-tSBqtLhze6bMCSpn3meE*OLrX/maluun11.jpg?width=650)
WAREMBO WACHAPWA BAKORA
Waandishi wetu MAUSTADH jijini Dar es Salaam wamefikia uamuzi mzito wa kutembeza bakora kwenye vijiwe korofi vya warembo wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili almaarufu kama machangudoa au machangu kwa kile kilichodaiwa kuwa wanasafisha jiji kutokana na kero za vishawishi vya kuharibiwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Maustadh wakimuadhibu mmoja wa machangudoa hao. Kwa mujibu wa sosi aliyewasiliana na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania