Mzindakaya awanyooshea kidole Lowassa, Sumaye
MWANASIASA mkongwe, Dk Chrisant Mzindakaya amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Ukawa Edward Lowassa, anasukumwa na kundi la watu wenye uchu na uroho wa madaraka kwa kupitia mgongoni mwake kwa manufaa yao binafsi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Lowassa ainyooshea kidole NEC
*Asema isipokuwa makini itavuruga uchaguzi
*Mbowe atoa elimu mpya kwa wapigakura
NA FREDY AZZAH, MAGU
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwamba kama haitakuwa makini, inaweza kuvuruga uchaguzi mkuu.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabasaba, mjini Magu...
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi6598EYmJ8qGWeRAYzAVKDp8wz9W24s7DIF7meX2SGyDYjb2NYHSmPp7UHXgXr*0CpTOqAPu3qnVc2*P4Wd2toh5/Lowassa.gif?width=650)
LOWASSA, SUMAYE NYUMA YA PAZIA
11 years ago
Habarileo14 Feb
Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa
AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.
9 years ago
IPPmedia02 Sep
Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now
IPPmedia
IPPmedia
Former Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa addresses news conference in Dar es Salaam yesterday on his weeks of absence from political forums. The former secretary general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...
Richmond saga 'ex-PM making' - SlaaDaily News
all 5
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Polisi yawagomea Lowassa, Sumaye, Mbowe Mwanza
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Lowassa, Sumaye, Ngeleja wajieleza Kamati ya Mangula
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Lowassa, Sumaye wakosa hafla ya kuapishwa JPM
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu uk
Mayage S. Mayage