Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa, Sumaye, Ngeleja wajieleza Kamati ya Mangula

>Waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu; Edward Lowassa na Frederick Sumaye jana walifika mbele ya Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM kutoa maelezo juu ya tuhuma za kufanya kampeni za urais kabla ya wakati

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa

AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa

2

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua  Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mangula amtosa Lowassa

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula, amemtosa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa katika harakati zake za kuwania urais. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Mbeya jana, Mangula...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati za Bunge zawagwaya kina Chenge, Ngeleja

Wajumbe wa kamati tatu za Kudumu za Bunge ambazo wenyeviti wake wanatakiwa kuvuliwa nyadhifa zao kutokana na kuhusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, ‘wanasuasua’ kuwaondoa na kuchagua viongozi wengine.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngeleja, Mpina, Mtanda waula Kamati za Bunge

Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Uchaguzi.

 

10 years ago

Raia Mwema

Ngeleja, Chegeni wambeza Lowassa

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Vijimambo

Komba awavuruga Lowassa, Membe, Ngeleja, Mwigulu.

Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa katika harakati za kuwania nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu, wameelezea masikitiko yao juu ya kifo cha Mbunge wa Mbinga, John Komba na kueleza namna marehemu alivyokuwa amejiandaa kuwatungia nyimbo za kampeni.
 Makada hao ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa na Mbunge wa Sengerema, William...

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’

 Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imetangaza uamuzi mzito dhidi ya wanachama wake sita ambao hivi karibuni waliitwa na Kamati Ndogo ya Maadili na kuwahoji kutokana na tuhuma za kuanza kabla ya wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa urais wa mwaka 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani