Mangula amtosa Lowassa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula, amemtosa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa katika harakati zake za kuwania urais. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Mbeya jana, Mangula...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Lowassa amtosa binti wa Sokoine
*Amtaka amfuate Ukawa au amsamehe
*Atangaza atakuwa dikteta wa maendeleo
Na Fredy Azzah, Monduli
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye anaungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana alitangaza kuitua mbeleko aliyokuwa akimbebea Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Monduli, Namelok Sokoine.
Vyama vinavyounda Ukawa ni pamoja na Chadema yenyewe, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Lowassa, Sumaye, Ngeleja wajieleza Kamati ya Mangula
10 years ago
Mtanzania11 Oct
Jaydee amtosa Gardner
Na Waandishi Wetu
MTANGAZAJI maarufu wa redio, Gardner G. Habash kwa mara ya kwanza amefichua ukweli wa makubaliano waliyofikia na mwanamuziki maarufu nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ ya kutozungumza na vyombo vya habari kuhusu taarifa zinazodai kuvunjika au kutengana kwao kindoa.
Wakati Gardner akisita kueleza bayana kuhusu taarifa za kutengana kwake na Jide, taarifa ambazo gazeti hili limezithibitisha zinaeleza kwamba tayari mwanamuziki huyo ameshamuondoa ‘mumewe’ huyo katika nafasi ya...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Kocha Yanga amtosa Adebayor
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdDrMqLt05XXtOdFnGF2Jhp9ZXxCVgUUlreyrc*5ZqjT7J*HXnV36iYwXTBpqySt5cHKSwHf9sfJh1lqtyg3Gdf/bradleycooperandirinashayk.jpg?width=650)
ISHU YA KUTOKA NA BLATTER, COOPER AMTOSA IRINA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff2S*IUdqFYWvpOOKriex-Je5d-0oIqQUgN*y1g5kqzQtJ4PtXx1lfuuRzhs0urVf6qi87xKLpJwLvej4XQVOfsl/TX4A14331200x930.jpg?width=650)
SIMULIZI YA MRISHO MPOTO: MANJI AMUOMBA KUGOMBEA UBUNGE, AMTOSA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s72-c/_MG_8367.jpg)
Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s640/_MG_8367.jpg)
MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Mkosamali amlipua Mangula
MBUNGE wa Muhambwe mkoani hapa, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), amemlipua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula akidai kuwa ameondoka katika hoteli aliyofikia bila kulipa pango. Akihutubia mamia...